Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 618
- 1,565
Kila timu inayo mipango yake na kupanga ni kuchagua, ndio maana Kuna timu zimeenda kushiriki mapinduzi na vikosi vyao vyote vya kwanza na Kuna timu zimeenda kushiriki na mchanganyiko wa vijana wa U20 pamoja na wachezaji wa vikosi vya pili iyo yote ni mipango
Yanga mipango yake ni ligi kuu, ligi ya mabingwa na FA cup, ivyo wasingeweza kuweka nguvu kwenye michuano ambayo aina TIJA yoyote zaidi ya kutafuta fatique na majeraha wakati Kuna michuano muhimu mbele ya safari.
Yanga wangeweza kukataa kushiriki lakini isingekuwa uungwana kuzikatalia mamlaka ivyo waliamua kwenda kuwapa vijana nafasi na wale ambao wanakaa sana benchi ili waonyeshe viwango vyao
Naweza kusema kwenye timu zote zinazoshiriki mapinduzi ni yanga pekee waliopeleka kikosi dhaifu tofauti na timu nyingine.
Kwa maana iyo kocha GAMOND tumemuelewa kutokuwepo kwa wachezaji 14 wa kikosi Cha kwanza ni kuonyesha kwamba akuwa na mpango na kikombe Cha bonanza.
Yanga mipango yake ni ligi kuu, ligi ya mabingwa na FA cup, ivyo wasingeweza kuweka nguvu kwenye michuano ambayo aina TIJA yoyote zaidi ya kutafuta fatique na majeraha wakati Kuna michuano muhimu mbele ya safari.
Yanga wangeweza kukataa kushiriki lakini isingekuwa uungwana kuzikatalia mamlaka ivyo waliamua kwenda kuwapa vijana nafasi na wale ambao wanakaa sana benchi ili waonyeshe viwango vyao
Naweza kusema kwenye timu zote zinazoshiriki mapinduzi ni yanga pekee waliopeleka kikosi dhaifu tofauti na timu nyingine.
Kwa maana iyo kocha GAMOND tumemuelewa kutokuwepo kwa wachezaji 14 wa kikosi Cha kwanza ni kuonyesha kwamba akuwa na mpango na kikombe Cha bonanza.