Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,792
- 49,857
Naona kabisa kwa trend hii tunaenda kupotea. Huu mwendelezo wa kila mtu kulaumu ooh timu mbovu mara wachezaji hawachezi mara sijui Mo kafanyaje kwakweli itenda kutugharimu... kivipi
1) Hii hali inashusha morale ya wachezaji na kujisikia inferior kwa sababu hata sisi tuu tunaowashangilia tunawavunja moyo kwa kuwasema wakikosea kidogo. Mkunbuke ni hawahawa walikuwepo msimu ulopita hao wawili waliouzwa kina Chama hawakuwa wanacheza wenyewe bali ilikua wanacheza as a team hivyo basi tuombe Mungu tupate mwalimu atakae weka formart ya timu vzr.
2) Hii ishu inawapa faida upande wa pili kwa kujiona wao ni unstopable yani wao ni washindi,hii mentality ya kuona kwamba wao mwaka huu kombe ni lao tayari huo ni ushindi tosha. Mind set zao zinajiweka ki ushindi kitu ambacho bado mapema sana kusema wao ni washindi ndo kwaaanza ligi imeanza.
Ushauri wangu kwa wanasimba wenzangu wale tunaopenda timu yetu. Wale tulozaliwa tukajikuta ni Simba yani toka wadogo tunaipenda Simba kwanza tusiache kuipenda timu yetu tuipende mnoooo na tuipende kuliko siku zote, tuwape moyo wachezaji wetu ,tuwaambie wanaweza.
Halafu kingine acheni kuwapa vichwa utopolo kwanini mnawasifia sifia hivyo? Hata kama wana timu nzuri kaeni navyo moyoni huku kudeclare direct kuwa ni wazuri ni failure kubwa kwetu. Mwisho nasema hiviiii Simba tunachukua kombe kwa mara ya tano mfululizo huu uzi mtaufufua mwakani mwisho wa ligi. ...
Alamsiki
1) Hii hali inashusha morale ya wachezaji na kujisikia inferior kwa sababu hata sisi tuu tunaowashangilia tunawavunja moyo kwa kuwasema wakikosea kidogo. Mkunbuke ni hawahawa walikuwepo msimu ulopita hao wawili waliouzwa kina Chama hawakuwa wanacheza wenyewe bali ilikua wanacheza as a team hivyo basi tuombe Mungu tupate mwalimu atakae weka formart ya timu vzr.
2) Hii ishu inawapa faida upande wa pili kwa kujiona wao ni unstopable yani wao ni washindi,hii mentality ya kuona kwamba wao mwaka huu kombe ni lao tayari huo ni ushindi tosha. Mind set zao zinajiweka ki ushindi kitu ambacho bado mapema sana kusema wao ni washindi ndo kwaaanza ligi imeanza.
Ushauri wangu kwa wanasimba wenzangu wale tunaopenda timu yetu. Wale tulozaliwa tukajikuta ni Simba yani toka wadogo tunaipenda Simba kwanza tusiache kuipenda timu yetu tuipende mnoooo na tuipende kuliko siku zote, tuwape moyo wachezaji wetu ,tuwaambie wanaweza.
Halafu kingine acheni kuwapa vichwa utopolo kwanini mnawasifia sifia hivyo? Hata kama wana timu nzuri kaeni navyo moyoni huku kudeclare direct kuwa ni wazuri ni failure kubwa kwetu. Mwisho nasema hiviiii Simba tunachukua kombe kwa mara ya tano mfululizo huu uzi mtaufufua mwakani mwisho wa ligi. ...
Alamsiki