sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Timu ambayo aliwahi kupita "Nguli" toka nchini Uganda.. Emanuel Anord Okwi katika safari yake ya kuelekea Europe.. Etoile Du Sahel.. siku ya leo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa CAF Confederations Cup.
Hii ni baada ya kuichapa bila huruma Orlando Pirates kwa jumla ya Goli 2-1.
Safari ya Etoile katika kubeba ndoo ilikua hivi..
NOTE: Etoile Du Sahel ndiyo waliozima ndoto za Wazee Wakimataifa kutakata kimataifa.
Hongereni Etoile Du Sahel.
Hii ni baada ya kuichapa bila huruma Orlando Pirates kwa jumla ya Goli 2-1.
Safari ya Etoile katika kubeba ndoo ilikua hivi..
NOTE: Etoile Du Sahel ndiyo waliozima ndoto za Wazee Wakimataifa kutakata kimataifa.
Hongereni Etoile Du Sahel.