Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Kelele zote ulizokuwa unazisikia mwaka jana ilikuwa ni Confederation Cup.
ukisikia Sakho kashinda goli bora la CAF basi ujue alilipatia kwenye Confederation Cup.
Ukisikia sijui Simba timu ya kwanza kutumia VAR mechi na Orlando, hiyo mechi ni CAF Confederation Cup.
Mwaka huu Yanga imefanikiwa kutinga ROBO FAINALICAF Confederation Cup.
ukisikia Sakho kashinda goli bora la CAF basi ujue alilipatia kwenye Confederation Cup.
Ukisikia sijui Simba timu ya kwanza kutumia VAR mechi na Orlando, hiyo mechi ni CAF Confederation Cup.
Mwaka huu Yanga imefanikiwa kutinga ROBO FAINALICAF Confederation Cup.