#Hapa kazi tu. Mpaka wanyooke.
We ngeke kwani unazima gani acha kuongea upuuziHao wapinzani wana nini zaidi ya kuwa na ilani mbovu inayobebwa na mgombea mgonjwa? Asanteni Watanzania kwa kuamua kumchagua Magufuli
Awe mgonjwa,mzee huyo ndo chaguo letu..Makufuli ndo nani? LOWASSA HADI KUFA...Hao wapinzani wana nini zaidi ya kuwa na ilani mbovu inayobebwa na mgombea mgonjwa? Asanteni Watanzania kwa kuamua kumchagua Magufuli
Hapa kazi tu ndy nn blah blah tu magamba
mnadanganyana kenge nyieMwaka huu wapinzani mwaka huu mna kazi nzito Mana huyu mgufuli anakimbiza ilee mbaya hapa kazi tu
Hao wapinzani wana nini zaidi ya kuwa na ilani mbovu inayobebwa na mgombea mgonjwa? Asanteni Watanzania kwa kuamua kumchagua Magufuli
Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na mzalendo CCM imekufa lakini Magufuli bado ana heshima na si fisadi kama baadhi ya wajumbe waliopo hata upinzani Naamini kuchagua mtu na si chama ndiyo itakayoivusha Tanzania yetu salama kwenye mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.
Ungana nasi kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu John Pombe Magufuli na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...
Wasalaaam