TIMU Magufuli tukutane hapa

TIMU Magufuli tukutane hapa

Kuna ushauri mwingine vigumu kuandika humu kiwazi utanyakwa na upinzani watu wengi waishio nja ya nchi ujuzi upo katika haya mambo mengi ya kampeni hata za nje ya nchi na ni wa Tanzania hata kushauri kwenye ma group kama hatsapp na viber etc

kama kuna e-mail au acc kwenye social media zilizo za kweli mwageni humu mrushiwe mazuri mawaidha teleteleeee ya kuzidi kupanda ngazi bila tabu
 
serikali ya magufuli ipo chama gani au yeye ni mgombea binafsi . mm ni mwananchi wa kawaida ila kwa hili anapotosha watu sasa kuna ugumu gani kutangaza ichagueni ccm ya magufuli au chagua ccm....
 
na hapi ndo ujue ni mwanzo wa kufeli kwan watu wanajiuliza anachoficha ni nn hawi streight
 
Ukiona mtu amefungua uzi huu, ujue ni team Magufuli na anamkubali. Tingatinga hoyeeeee
 
Nina imani na Magufuli ila sina Imani na timu yote ya CCM na mfumo wake, tatizo sn



ndio hapo inapokuwa shida..maana mfumo wa nchi kwa kuongozwa na katiba unaelekeza kuwa nchi itaongozwa na chama kitakachoshinda..... na sio mtu mmoja.. na ndio maana kuna kitu kinaitwa ILANI (yaan mwongozo) hiyo ndiyo ambayo itamwongoza Magufuli.. siwezi nikiwa na akili timamu kushabikia CCM kuendelea kuongoza nchi hii. naamini kina Magufuli wapo wengi nchi hii.. hawajapewa tu nafasi..hata huko UKAWA wapo.
 
Jifunze kwa Team Lowasa ,hata siku moja hawatazungumzia madhaifu ya Lowasa,bali ni yale mazuri tu,na ndivyo tunataka kwa Team Magufuli,madhaifu yatazungumziwa na Team Lowasa ,na pia madhaifu ya Lowasa yatazungumziwa na Team Magufuli,huwezi kuzungumzia madhaifu kwa mtu wako,wewe utakuwa sio mwana mkakati,lengo kuu la hizi team,ni kuwajenga wagombea wao na sio kuwabomoa hiyo ndio siasa.Hapa tunaongelea mazuri tu ya Magufuli na madhaifu ya wapinzani wa Magufuli,ukitaka kujua huu ukweli nenda Team Lowasa halafu jaribu kuzungumzia madhaifu yake halafu uje utupe majibu.

Hizi ni kampeni mtu kama ameyaona madhaifu lazima ayaseme sometime mtu anaweza akawa anataka kujiunga na team yenu so kuna mambo ambayo anakuwa hajayaelewa vizuri kuhusu makifuri lazima mumueleweshe kwanza ndio afanye maamuzi
 
Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na mzalendo CCM imekufa lakini Magufuli bado ana heshima na si fisadi kama baadhi ya wajumbe waliopo hata upinzani Naamini kuchagua mtu na si chama ndiyo itakayoivusha Tanzania yetu salama kwenye mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.

Ungana nasi kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu John Pombe Magufuli na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...

Wasalaaam

Kura YANGU NI KWA MAGUFULI TUUUUUUUU
 
timu maghufuli au timu raisi wa awamu ya tano mbona sielewi hapa...
hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom