TIMU Magufuli tukutane hapa

TIMU Magufuli tukutane hapa

kumbe ulitaka kiongoz akutume ww?Kiongoz atutumikie sio kutumikiwa.na kwa sasa tpo kati yan magufuli anafaa kwa utendaj alaf lowassa anatumiwa kuisambaratisha ccm ...Watu ni walewale tu.TUnnane oct 25 2015.

Kama kweli unamjua Magufuli vizuri hupaswi kudharau KIPAJI alichonacho tafakari halafu jiongeze.
 
Magufuli aanzishe tuition ya hesabu pale mapambano sio irahisi na kingine ni kwamba hatutaki rais kama waita wa wakina JK na Kapa,na ruksa tumesena hatufanyi makosa ngoja muone nawaambia kweli hakuna kulalamika tena
 
Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na mzalendo CCM imekufa lakini Magufuli bado ana heshima na si fisadi kama baadhi ya wajumbe waliopo hata upinzani Naamini kuchagua mtu na si chama ndiyo itakayoivusha Tanzania yetu salama kwenye mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.

Ungana nasi kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu John Pombe Magufuli na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...

Wasalaaam

ndiooo mkuu tupo pamoja
 
Kwa kipindi ambacho Magufuli amekuwa waziri tumeona mengi aliyofanya. Nitachagua kutokana na utendaji wa mgombea alipopewa nafasi ya uongozi. Magufuli is my next President.
 
Kama kweli unamjua Magufuli vizuri hupaswi kudharau KIPAJI alichonacho tafakari halafu jiongeze.

Wasioweza kulipia nauli ya pantoni sh 200 na wapige mbizi.

Huyu Kibwengo mkimpeleka kuomba kura Kigamboni msije kutulaumu mkipopolewa mawe.
 
Matola it is not fair khaa

Wewe jiandae kisaikolojia tunawaombea ccm mje kuwa chama imara cha upinzani, cha kusikitisha watu wenye akili kama Mwandosya wameshachoka kesho Mwandosya anatambulishwa jangani pamoja na mzee Kingunge.

Ccm ikipona uchaguzi huu sitoamini tena kama kuna Mungu nitajiunga na Atheist.
 
Last edited by a moderator:
Wewe jiandae kisaikolojia tunawaombea ccm mje kuwa chama imara cha upinzani, cha kusikitisha watu wenye akili kama Mwandosya wameshachoka kesho Mwandosya anatambulishwa jangani pamoja na mzee Kingunge.

Ccm ikipona uchaguzi huu sitoamini tena kama kuna Mungu nitajiunga na Atheist.

Kingunge ni jogoo wa kuchora mchukueni tu. Kwanza tushamkata kwenye ukamanda....akauze ngada na mwanae south
 
Tuko pamoja hasa kuhakikisha LOWASA anaenda magogoni
 
Kingunge ni jogoo wa kuchora mchukueni tu. Kwanza tushamkata kwenye ukamanda....akauze ngada na mwanae south

Ndio ujuwe chama chenu kimejaa mataahira, Mzee kama Kingunge atakuwaje kamanda wa vijana? Big joke.
Na Mwandosya ni jogoo wa kuchora?
 
Magufuli alinishawishi sana. Mwanzoni nildhani anaweza kutumika kama kifaa cha mabadiliko ya ndani ya chama dola. Lakini speech yake ya kwanza tu dododma niligundua hana national vision. Hata mkimchagua miaka ya kwanza tu atachoka. Matatizo ya watanzania yalipofikia Hayatatuliwi ccm ikiwepo au ukibeba bendera ya ccm. Maana unakuwa na kazi mbili, Moja Kuwalinda waliyoyasababisha na pia kuleta maendelea.

ni kama treni yenye vichwa viwili kila kimoja kwenda upande wake. Pia ameshatuthibitishia kuwa yuko bega kwa bega na haohao wenye matatizo. Pia anachukia wazembee ambao anawalilia kwa wananchi wawachague ili wamsaidie kuunda serikali imara.

Atakemea rushwa vipi wakati chama kinakusanya shahada za kura na kutumia rushwa ili ashinde (habari ITV). Hebu tutumia akili jamani tufumbue macho. Tuwaweke ccm pembeni wakajitafakari walianguka wapi. Vinginevyo kumpa urais magufuli kupiotia CCM ni kumuaibisha na kumtafutia aibu kubwa akiisha kuwa raisi na mwenyekiti wa chama chenye mirija ya chuma isiyokatika nchi nzima.

Nawasihi sana tumsaidie kwa kutokumpigia kura, ili hawa chama dora wapate muda wa kujitafakari kidgo japo miaka mitano. Tukiwakosa hapa kuwapata tena ni issue. Na nchi inaendelea kuzama.

Nitaichagua ukawa mapema sana Ili magufuli wa kweli aje agombee mwaka 2020 akiwa na refined ccm au chama kingine.

***Back to my Signature***
 
Back
Top Bottom