TIMU Magufuli tukutane hapa

TIMU Magufuli tukutane hapa

Team magufuli mbona tumepoa hivi? Huko Facebook a naongelewa tingatinga kwa kwenda mbele. Mnakubali kufunikwa na ......waserengeti?
 
Hii ni familia ya marafiki wa maendeleo yaani friends of development (FOD au 4D) jukumu letu ni kuleta maendeleo kwenye jamii nzima. Kwakuwa tunapenda maendeleo ndio maana tunamsapot
MH MAGUFULI maana naye ni Rafiki Wa maendeleo

Sisi haturuhusu mijadala ya dini , ugomvi, matusi ,utani, mzaha na post/story zisizo na tija katika kuliendesha gurudumu la Maendeleo kupitia Mgombea Urais kwa Chama cha CCM

Hatupo vijana pekee yetu kuna watu wazima pia, inafaa tuwe na nidhamu..ukikaidi hatua za kinidhamu zitachukuliwa ikiwezekana kukutoa kwenye group ili tuendelee kubaki na wenye dhamira ya kweli.

Sisi ni marafiki wa Magufuli jukumu letu ni kupambana kuelekea Ikulu 2015.

Tutasambaza taarifa zetu katika kila mtandao tuombe watanzania wote watuunge mkono.

Tutakuwa na matukio yetu wenyewe ya kijamii kwa kushirikisha wadau mbambali ila wanachama wa 4d pamoja na watanzania wote kwa ujumla ndiyo tunajukumu la kufanikisha Mheshimiwa Magufuli kwenda Ikulu pale Magogoni.

Tunapambana kwa ajili ya Maendeleo ya Watanzania wote. Hivyo kiongozi yeyote kama atakuwa analeta maendeleo sisi tutamkaribisha na tutamsapot kwanguvu zote..

Karibuni sana
Ukihitaji kuwasiliana nasi:
Whatsapp only 0788605000

# Nkwabi
Katibu.
 
Mie siko whatsapp kakini ni mdau mkubwa wa itikadi za kimaendeleo za mgombea wetu Magufuri, sasa tusio whtsapp tunakaaje ili nasi tufit? much thanx!
 
Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na mzalendo CCM imekufa lakini Magufuli bado ana heshima na si fisadi kama baadhi ya wajumbe waliopo hata upinzani Naamini kuchagua mtu na si chama ndiyo itakayoivusha Tanzania yetu salama kwenye mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.

Ungana nasi kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu John Pombe Magufuli na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...

Wasalaaam

Mnatia huruma sana.
Ni sawa na mtu anaefanya mchezo wa kubahatisha kwa hela zake zote alizonazo.
 
Magufuli na mkubali sana kuliko kawaida....el hakuna kitu hapo ni mbovu hadi afya..

kuna wanaojisifia afya na kudhani ni ujanja wao nawapa pole kwani hawajitambui wala kuijua kesho yao.

Mzima huwa mfu mgonjwa kuwa salama.

ukichunga akili zako utakuwa na breki za ulimi.

Mkubali unaemkubali usinasibishe uhai na maradhi kwani huwezi kumuongezea lau pumzi moja au pigo la moyo.

KUENI ACHENI UTOTO.
 
Wewe una akiri sana inaonekana ulizaliwa cku ya jumatatu. ukawa wataishia kuiona ikulu kwa macho, Magufuli tc prsdnt
 
Hichi ni kijiwe cha kulishana porojo
Na kutiliana Matumaini mfu huku mkijidanganya wenyewe vipofu mnaendeshana tu.
 
Aliyekuambia mimi ni CCM nani?., Kumuunga mkono magufuli si mpaka uwe mwanachama wa ccm hivyo mimi Kikwete si mwenyekiti wangu na ccm si chama changu na silisemi hili kwa woga wala unafiki, na kama ningekuwa mwana ccm nisingeona haya ya kusema kwani hata pia kuwa ccm si dhambi.

Acha kubwbwaja mkuu, nchi hii haina mgombea huru, unaposema unampigia magufuli wewe ni ccm acha kukataa! Kama unaichukia ccm huwezi kumpigia kura mgombea wa ccm hata siku moja, acha kudanganya watu !
 
Mie siko whatsapp kakini ni mdau mkubwa wa itikadi za kimaendeleo za mgombea wetu Magufuri, sasa tusio whtsapp tunakaaje ili nasi tufit? much thanx!
Mkuu tangu atajwe magufuli ambaye ni kabila lako kuwa mgombea fasta umehamia ccm wakati ulikuwa cdm! Njaa hizi zitatuua! Tuache ukabila,tusimamie tunachokiamini!
 
Back
Top Bottom