Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,689
- 3,264
Mfano mechi ya leo kati ya 5imba na Wydad. Tofauti ya masaa kati ya Tz na Morocco ni masaa matano. Muda ambao mechi inaanza itakuwa saa nne za usiku huku Tanzania. Muda huo wachezaji wengi professional huwa tayari wamelala. Maana yake kikawaida wachezaji wa Simba wangekuwa Tz muda huo wangekuwa wameishapata chakula cha usiku na kwenda kulala.
Kwa hiyo wachezaji hao wataingia uwanjani huku kichwa kikiwa na akili ya usingizi na tumbo na akili ya kushiba na kurelax kama ilivyo desturi yao. Hili linaweza athiri sana performance ya timu. Timu hukabiliana vipi na hili?
Kwa hiyo wachezaji hao wataingia uwanjani huku kichwa kikiwa na akili ya usingizi na tumbo na akili ya kushiba na kurelax kama ilivyo desturi yao. Hili linaweza athiri sana performance ya timu. Timu hukabiliana vipi na hili?