Future-Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 334
- 7
- Then next time usilete habari za familia za watu hapa JF, ya kuchinganisha familia za watu sidhani kama unataka niende hiyo avenue na wewe do you real want that?
- Lakini pia ninakushukuru sana kwa kuileta topic hii hujui tu what you did na Mungu atakuzidishia.
Respect.
FMES!
you have always had my support and respect on your contributions here at JF but I think in this topic you are out of respect to other people's family privacy.
Na mtu aliyoleta topic hapa ajasema ulete coments zako za ohh Dr whoever hamsaidii baba yake.
my question is how do you really know? Baba yake amewai kukulalamiia? Au ni umbea wako? And you said clearly you don't have contacts with the family that is why you didn't have phone number of the dr? so are you lying to wanaJF about your comments about huyu Dr?
To be honest I feel you have personal hate rage towards this person. Na wewe kama mwanJF amaye umetoa michango mingi humu kurekebisha na kuendeleza Tanzania na watanzania then you should be so ashamed of being shallow minded into knowing were your limit are with respect to family peace and respect. Also if you are true friend of the late brother of this Dr Then you should learn how to respect his family and keep his family secret. That is what true friends do. Would you please stop using the word ‘respect' because you have none to other people's family affairs.
baada ya wavaa nepi kutapakaa ulaya na marekani wenye heri wanachanganyikiwa. Ilikuwa ni kawaida ya wateule wachache kuzijua nchi za magharibi lakini kwa sasa wapo wabeba zege wengi wa dar walifika nchi hizo na kujipatia angalau vi ajira vya kubeba zege kwa malipo yanayofaa.
Ni kweli watoto wengi (na sio wote) wa wafanyakazi wa ngazi za juu wa serikali ya tanzania wameishia maisha ya ajabu na kuitia nchi hasara kubwa na taifa aibu kuu. Kwani walikuwa na uwezo mwingi wa kifedha kusoma na kupata kazi za maana na kuwa msaada mkubwa kwa nchi na watanzania wenzao ila wengi wameishia maisha ya kusadikika na less parental care na kuishia kusiko.
Nawashauri wengi waliotoka maisha mayai wakumbuke wazazi wengi wanazeeka na kustaafu ni wajibu wao kusoma kwa bidii ili waweze kuenzi hata wazazi wao kama sio nchi yao.
Na wale wenzangu namie tukaze nepi zetu kwani dunia ya leo ni mwendo kasi. Tujue kuwa sisi hatuwezi kupeleka wazazi wetu afrika ya kusini ngoma itachezwa hapa hapa bongo kwa maleria au kwa kwa kansa , kwa ukimwi au kwa mifupa.
Wavaa nepi tushirikiane kujenga angalau hospitali moja yenye hadhi ya kutibu na kustahimili magonjwa mengi na vifaa vya kisasa. Ili tufike wakati wa kuwaleta wataalamu badala ya kusambaza wagonjwa dunia nzima, itatupunguzia gharama na kuongeza wataalamu.
1.
- Kwanza umeleta uongo na topic yako, kwamba mzee amelazwa na blah! blah! ukweli ni kwamba haumwi sana na hiyo ya kwenda huko SA ni kawaida, sasa kama unajua juu ya People's Family Privacy usingeleta hii topic anyways, mimi nilifikiri kwamba kwanza utaomba masahama kwa kuela uongo, badala yake umeenda kutafuta dictionary na kujaribu kuandika English ambayo hata kuisema huwezi ili tu uonekane umo as of your usual!
2.
- Ulipoleta topic ungesema the limit ya kuchangia, kama vile unavyompelekea Malecela masanduku ya zawadi, badala ya kupelekea ndugu zako masikini wa Mungu unampelekea mtu asiyeyahitaji, halafu the net thing unasema he is less than Chakubanga, ni binadam wa aina yako ndio wa hatari sana hapa duniani ndio maana mpaka leo nashangaa sana kwamba Mwakyembe amewezaje kushirkiana na mtu kama wewe yaani I am lost!
3.
- Si unaona English ya kuokota inavyokusumbua, ningekwua na namba ya DK, au mawasiliano ya aina yoyote ningemtafuta siku nyingi, haya huyajui na ni better ukanyamaza tu kwa sababu wewe kwenu ni Magereza, karibu mile 15 kutoka Kinyerezi kwa huna clue na unachokisema, jamaa nimepata finally na Mtanzania akaunganisha na kumalizia, hayakuhusu.
4.
- Hapana you should be ashamed pale unapoweza kuwa na mke, halafu ukajaribu tena kumtongoza dada wa rafiki yako ambaye ni mke wa mtu, that is shallow minded, what is family affairs secrets kwako? Ningekuelewa kama ungesema nimeleta uongo hapo hata ungesema nini ningekupa support na kukuomba radhi, anayehusika amenisikia na kunielewa sasa nashangaa vipi mkuu pili pili inakuwasha vipi tena bro?
Kama ni urais Mwakyembe ataupata tu ukikazana kumsaidia adn then utapata what you have been looking for kwa muda mrefu sana, Mungu akujaolie na hizo ndoto zako, ila jaribu kuwa mkweli na acha utapeli, acha uanfiki, na jifunze kuwa na adabu na mheshimu mkeo.
Kumbuka msema ukweli siku zote ataendelea kuwa mpenzi wa Mungu
Respect
FMES.
1.
- Kwanza umeleta uongo na topic yako, kwamba mzee amelazwa na blah! blah! ukweli ni kwamba haumwi sana na hiyo ya kwenda huko SA ni kawaida, sasa kama unajua juu ya People's Family Privacy usingeleta hii topic anyways, mimi nilifikiri kwamba kwanza utaomba masahama kwa kuela uongo, badala yake umeenda kutafuta dictionary na kujaribu kuandika English ambayo hata kuisema huwezi ili tu uonekane umo as of your usual!
2.
- Ulipoleta topic ungesema the limit ya kuchangia, kama vile unavyompelekea Malecela masanduku ya zawadi, badala ya kupelekea ndugu zako masikini wa Mungu unampelekea mtu asiyeyahitaji, halafu the net thing unasema he is less than Chakubanga, ni binadam wa aina yako ndio wa hatari sana hapa duniani ndio maana mpaka leo nashangaa sana kwamba Mwakyembe amewezaje kushirkiana na mtu kama wewe yaani I am lost!
3.
- Si unaona English ya kuokota inavyokusumbua, ningekwua na namba ya DK, au mawasiliano ya aina yoyote ningemtafuta siku nyingi, haya huyajui na ni better ukanyamaza tu kwa sababu wewe kwenu ni Magereza, karibu mile 15 kutoka Kinyerezi kwa huna clue na unachokisema, jamaa nimepata finally na Mtanzania akaunganisha na kumalizia, hayakuhusu.
4.
- Hapana you should be ashamed pale unapoweza kuwa na mke, halafu ukajaribu tena kumtongoza dada wa rafiki yako ambaye ni mke wa mtu, that is shallow minded, what is family affairs secrets kwako? Ningekuelewa kama ungesema nimeleta uongo hapo hata ungesema nini ningekupa support na kukuomba radhi, anayehusika amenisikia na kunielewa sasa nashangaa vipi mkuu pili pili inakuwasha vipi tena bro?
Kama ni urais Mwakyembe ataupata tu ukikazana kumsaidia adn then utapata what you have been looking for kwa muda mrefu sana, Mungu akujaolie na hizo ndoto zako, ila jaribu kuwa mkweli na acha utapeli, acha uanfiki, na jifunze kuwa na adabu na mheshimu mkeo.
Kumbuka msema ukweli siku zote ataendelea kuwa mpenzi wa Mungu
Respect
FMES.
Jana ndiyo Mzee Timothy Apiyo kalazwa hospital hiyo ya Milpark. Wizara ya afya walichela kutuma pesa na akawa amefikia kwa rafiki yake.
kaku touch nini?Watu bana! Blah blah blah blah blah ili mradi katundika post JF....aaagh!
si umteaje kabisa FMES.......Si ishi maisha yangu kwa kuangalia maisha ya wengine.....kila mtu na maisha yake!!!
Hii topic nzima imejaa majungu, umbea na ujuaji juu ya maisha ya wengine as if "ninyi" maisha yenu ni supa kivile......ni vistori vya kwenye vijiwe vya kahawa, kwa fundi kinyozi/mama msusi, vijiwe vya unga/wapiga debe, kwa ufupi ni umbea mbea flani tu!!! Eti "maisha yao blah blah bla..." so? who cares? Ovyoooooo....
Si ishi maisha yangu kwa kuangalia maisha ya wengine.....kila mtu na maisha yake!!!
Hii topic nzima imejaa majungu, umbea na ujuaji juu ya maisha ya wengine as if "ninyi" maisha yenu ni supa kivile......ni vistori vya kwenye vijiwe vya kahawa, kwa fundi kinyozi/mama msusi, vijiwe vya unga/wapiga debe, kwa ufupi ni umbea mbea flani tu!!! Eti "maisha yao blah blah bla..." so? who cares? Ovyoooooo....
1.
- Kwanza umeleta uongo na topic yako, kwamba mzee amelazwa na blah! blah! ukweli ni kwamba haumwi sana na hiyo ya kwenda huko SA ni kawaida, sasa kama unajua juu ya People's Family Privacy usingeleta hii topic anyways, mimi nilifikiri kwamba kwanza utaomba masahama kwa kuela uongo, badala yake umeenda kutafuta dictionary na kujaribu kuandika English ambayo hata kuisema huwezi ili tu uonekane umo as of your usual!
2.
- Ulipoleta topic ungesema the limit ya kuchangia, kama vile unavyompelekea Malecela masanduku ya zawadi, badala ya kupelekea ndugu zako masikini wa Mungu unampelekea mtu asiyeyahitaji, halafu the net thing unasema he is less than Chakubanga, ni binadam wa aina yako ndio wa hatari sana hapa duniani ndio maana mpaka leo nashangaa sana kwamba Mwakyembe amewezaje kushirkiana na mtu kama wewe yaani I am lost!
3.
- Si unaona English ya kuokota inavyokusumbua, ningekwua na namba ya DK, au mawasiliano ya aina yoyote ningemtafuta siku nyingi, haya huyajui na ni better ukanyamaza tu kwa sababu wewe kwenu ni Magereza, karibu mile 15 kutoka Kinyerezi kwa huna clue na unachokisema, jamaa nimepata finally na Mtanzania akaunganisha na kumalizia, hayakuhusu.
4.
- Hapana you should be ashamed pale unapoweza kuwa na mke, halafu ukajaribu tena kumtongoza dada wa rafiki yako ambaye ni mke wa mtu, that is shallow minded, what is family affairs secrets kwako? Ningekuelewa kama ungesema nimeleta uongo hapo hata ungesema nini ningekupa support na kukuomba radhi, anayehusika amenisikia na kunielewa sasa nashangaa vipi mkuu pili pili inakuwasha vipi tena bro?
Kama ni urais Mwakyembe ataupata tu ukikazana kumsaidia adn then utapata what you have been looking for kwa muda mrefu sana, Mungu akujaolie na hizo ndoto zako, ila jaribu kuwa mkweli na acha utapeli, acha uanfiki, na jifunze kuwa na adabu na mheshimu mkeo.
Kumbuka msema ukweli siku zote ataendelea kuwa mpenzi wa Mungu
Respect
FMES.
Wizara ya Afya wanatuma pesa South Africa kwa mpango gani? Kila anaehitaji matibabu nje huwa anapata pesa za Wizara ya Afya? Hizo pesa zitumike kuleta hizo huduma hapa hapa kwetu Ilala na Mwananyamala Hospital wanakotibiwa kina Miamuna na Kisebengo. Hivi kuna mtu ana uchungu na hii nchi, na hawa wananchi wa chini hawa?
Kina Apiyo hawa ndio walikuwa wajenzi wa nchi, walishindwa kujenga hizi huduma, sasa waache kula kodi za wananchi ambao hawawezi kupata matibabu South Africa.
kaku touch nini?
Uwiano Maalum, habari ya asubuhi?
Unafikiri hilo Mzee Apiyo halijui? Juzi tu kapoteza mtoto wake wa mwisho kwa sababu matibabu ya Muhimbili yako chini sana. Soma maelezo ya ukurasa wa kwanza tu uone kwa nini watu hawalaani matibabu yake, bila kujali gharama.
Umeshaamka? Tuliza munkari na tafuta historia ya mzee wetu, Timothy Apiyo na hapo utajua alikuwa nani na kafanya nini na kwa nini anastahili kwenda huko. Mengine yote sasa yako chini ya ROSTAM AZIZ. Sasa mwambie Rostam ajenge hizo hospital. Nina imani wewe atakusikiliza.
A million $ question!Nami nilikuwa najiuliza kitu kama hicho.Mkuu FMES hivi si ulisaini ule mkataba wa AMANI,haya mambo yanatoka wapi tena?
Unaniuliza habari ya asubuhi? Habari sio nzuri, kuna wananchi wenzangu wafa hoi, walala hoi, wanaanguka as we speak bila hizo luxuries za Apiyo kutibiwa South Africa.
Nani hamjui Timothy Apiyo alikuwa nani maisha haya? Whoever you hold him to have been, unadhani yeye ndio anastahili matibabu bora kuliko Chausiku na Karumekenge wa Magomeni Hospital? Kama yeye ndio kiongozi ambae wakati wao walishindwa kuleta hizi huduma basi wasile kodi, wasitafune jasho, la wafa hoi wa watu wa maisha ya chini.
Kuna sheria inayo govern maslahi ya viongozi wastaafu ikiiwemo matibabu. Huyu Apiyo hayumo humo, hakuwa Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais. Hakuwa hata waziri. Wizara ya Afya imetuma hela South Africa kwa mpango gani? Kama ni kwa utaratibu wa kila Mtanzania je huyu Apiyo alipanga mstari? You bet he cut in lines. You bet he did.
Mimi siamini kwamba kuna maisha ya mtu bora kuliko ya mwingine. Kama ana privileges za uongozi, ni utaratibu na sheria gani hiyo iliyotumika kumtumia hela za Wizara ya Afya? Kama wafa hoi wa Amana na Magomeni hospital wanafariki bila huduma basi tufe wote hivyo hivyo mpaka tutakapotia akili kwa kuboresha hizi huduma kwa wote. Tufe.
Mhh Future-Tanzania! unaonekana ni fundi kwenye malumbano. Unanikumbusha enzi za Khadija Kopa (TOT) na Nasma Khamis Kidogo (Muungano). Acha nijisomee tu haya malumbano.
In a serious note,namuombea kwa mungu wetu wa mbinguni amjalie afya njema Mzee wetu Timothy Apiyo ili aweze kurejea nyumbani akiwa na afya tele.Naamini mungu wetu atatenda jambo kwa Mzee wetu na atakuwa salama.
Amen
mkuu vicheche havieleweki wanabadilika badilika....Goal for 2010:Marriage
Yoyo vipi tena,mbona unahairisha kila mwaka