Timoth Apiyo Alazwa Afrika Kusini

mkuu vicheche havieleweki wanabadilika badilika....

Yoyo,

Imesemwa kuwa :-

1. Mwanamke anampenda mwanaume, anaona jamaa yake tabia mbaya na anafikiri kuwa tukioana jama atabadilika - jamaa habadiliki.

2. Mwaume anamkuta Kicheche, moto kwelikweli, umbe namba nane, tabia nzuri, unatunzwa kama mboni ya jicho, unaona nimepata toto bomba sana, huyu ndiye atanifaa na milele atakuwa hivyihivyo - Akiowa tu ......kasheshe.
 
Umeambiwa mzee kapooza nusu ya mwili. Ni vitu gani vilitumika hadi awe anatibiwa SA, labda FMes atasaidia hili maana anafahamu ni nani walipiga makelele kwa Kikwete ili hawa wazee watatu wawe wanatibiwa nje mara matibabu hayo yanapokosekana Tanzania...

2. Kama una wivu, mhhhh wee tafuta kamba ufuate maneno ya Saida Karoli.

Siwezi kumuonea wizu Apiyo kwa sababu eti anapata luxury ya matibabu South Africa. Simu envy, simu admire mtu kama Apiyo kwa sababu mimi kama mwananchi wa kawaida hana alichonizidi zaidi ya kupata hela za bure za kwenda kutibiwa South Africa. Yupi ni bora wa kumu envy mwenzie, mimi na wafa hoi wenzangu tunaofia Ilala Amana tuliokataa ukupe wa kutibiwa na jasho la wenzao au kiongozi 1) aliyekatisha mstari wa kusubiri hela, 2) presidential aid wa mhubiri wa Ujamaa na Kujitegemea, anaepewa hela za Wizara ya Afya kutibiwa kwa kutegemea hospitali za wenzetu, 3) bila kujali wajamaa wenzake wanaokufa kwa kukosa vyandarua 4) asiyefuata sheria zinazo govern ni mstaafu gani anapewa matibabu bure?

Ungesema nina wivu kama labda Apiyo angetoa hela zake mfukoni akajilipia luxury ya matibabu hayo. Ungesema ni umaskini wangu unanisumbua. Yeye ndio amepewa hela na Wizara ya Afya akatibiwe. Nimuonee wivu gani? Kama hatuoni umuhimu wa kutumia hizo hela za wizara kusogeza hizo huduma ili wote tuzipate basi tufe wote. Na tufe.
 
Siwezi kumuonea wizu Apiyo kwa sababu eti anapata luxury ya matibabu South Africa. Simu envy, simu admire mtu kama Apiyo kwa sababu mimi kama mwananchi wa kawaida hana alichonizidi zaidi ya kupata hela za bure za kwenda kutibiwa South Africa. Yupi ni bora wa kumu envy mwenzie, mimi na wafa hoi wenzangu tunaofia Ilala Amana tuliokataa ukupe wa kutibiwa na jasho la wenzao au kiongozi 1) aliyekatisha mstari wa kusubiri hela, 2) presidential aid wa mhubiri wa Ujamaa na Kujitegemea, anaepewa hela za Wizara ya Afya kutibiwa kwa kutegemea hospitali za wenzetu, 3) bila kujali wajamaa wenzake wanaokufa kwa kukosa vyandarua 4) asiyefuata sheria zinazo govern ni mstaafu gani anapewa matibabu bure?

Ungesema nina wivu kama labda Apiyo angetoa hela zake mfukoni akajilipia luxury ya matibabu hayo. Ungesema ni umaskini wangu unanisumbua. Yeye ndio amepewa hela na Wizara ya Afya akatibiwe. Nimuonee wivu gani? Kama hatuoni umuhimu wa kutumia hizo hela za wizara kusogeza hizo huduma ili wote tuzipate basi tufe wote. Na tufe.

Ndugu mbona unatumia maneno makali mfululizo?? yapi yamekusibu??
 
Wewe MTM ulisha conclude kwamba mimi ni "sissy." Sasa nilitegemea umesha ni solve, umeshanitathmini na kujua ni nini kinachonisibu. Kumbe bado huna hakika bana?

its a different ball game that relates to health care services za watz... huo u-sissy and whining; ni ile post yako ya kuattack bila definite grounds, wakati dogo alishaelewa somo....

Anyway, when treating patients we were told to that it is always good to double check condition ya mgonjwa kwa njia za clinical signs and symptoms na vipimo vya maabara!!

wewe una uhakika?
 
1.
future-Tanzania;You have always had my support and respect on your contributions here at JF but I think in this topic you are out of respect to other people’s family privacy.

- Mkuu JF tunapojadili wanasiasa hatujawahi kuwa na privacy, huwa tunawavua mpaka mpaka nguo zao za ndani, hapa huwa tunaingia mpaka vitandani mwao, sasa labda unieleweshe ni wapi nimeingia kwenye privacy ya Mzee Apiyo, au huyo mtoto wake aliyeko Poland privacy ambayo hapa JF ni out of the line?

2.
Na mtu aliyoleta topic hapa ajasema ulete coments zako za ohh Dr whoever hamsaidii baba yake. my question is how do you really know? Baba yake amewai kukulalamiia? Au ni umbea wako? And you said clearly you don’t have contacts with the family that is why you didn’t have phone number of the dr? so are you lying to wanaJF about your comments about huyu Dr?

- Aliyeileta hii topic kama zingine zote, hakusema what is privacy, wala what is out of the line na hii topic, topic imeletwa kama zingine zote nimechangia na kusema ukweli kama kawaida yangu kwa 110%, nilipoinghia urafiki mdogo wa DR, ilikuwa intime ndio wakati anaodoka kwenda Poland, katika maisha yangu sijawahi kuongea na DR, wala kufahamiana naye never at anytime, lakini toka alipoondoka tu I came to know kila aliyebaki ndani ya nyumba yao, na Marehemu mdogo wake came to know kila kitu ndani ya nyumba yangu, na eventually baada ya kurudi melini nikanunua shamba na kujenga nyumba yangu, next to them kwa a big help kutoka kwa marehemu mdogo wa DR, mimi nikiwa naishi mjini na kuja pale kwa ajili ya ujenzi tu. Does this helps you au bado? Kama bado nitajaribu sana kukusaidia.

- Kuhusu ujumbe wangu niliomtumia, nimeshalimaza na siwezi kurudia au kusema zaidi, lakini I stand behind my words tena kwa 100%, siwezi ku-create umbeya over mgongo wa uzee na afya ya baba wa one of my late best friend, I am not that low of a human being.


3.
To be honest I feel you have personal hate rage towards this person. Na wewe kama mwanJF amaye umetoa michango mingi humu kurekebisha na kuendeleza Tanzania na watanzania then you should be so ashamed of being shallow minded into knowing were your limit are with respect to family peace and respect. Also if you are true friend of the late brother of this Dr Then you should learn how to respect his family and keep his family secret. That is what true friends do. Would you please stop using the word ‘respect’ because you have none to other people’s family affairs.

- Kama nina personal rage against this DR, ni uamuzi wake kuamini,na sina sababu yoyote ya kuomba radhi, after all I have done, naona hapa hii ishu ndogo sana inataka kugeuzwa kuwa kubwa na wasiokuwa na ukweli, na in other hand naiona inataka kugeuka kuwa PR something, no ukweli hauwezwi kugeuzwa kwa kutumia uongo. Binafsi nina amani kubwa sana hasa baada ya jana kupewa mawasiliano ya DR, sina sababu yoyote ya kuomba radhi kwa sababu simply sina sababu, pia mawasliano hayo nimeyafikisha kwa wengi walengwa zaidi ya mimi.

- Mkuu wangu unajichanganya unaposema Family Secrets, halafu unasema ni Umbeya, halafu unadai ni Family Affairs, sasa naomba uchague moja, kati ya hayo matatu, lakini kwangu mimi ni kwamba nilichosema ni ukweli tena 100%.

Respect.



Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 
1.
future-Tanzania;
So just to let you know Ms/Mr Field Marshall ES, acha kuandika andika upuuzi just to defend your inanity, kwasababu unazidisha kuonekana wee ni mpuuzi zaidi….

- Name calling maana yake ni moja tu huna hoja, na kwa this ishu sina tatizo kukubali kwamba mimi ni mpuuzi, kwa sababu the end justifies the means, yaani ya mimi kupata mawasliano ya DR, na kuwafikishia walengwa wa karibu zaidi.

2.
Or maybe you are so stressed and feel ashamed for your disrespecting comments to this Dr and even to his late brother?

- Labda ungeyasema hayo maneno niliyoyasema ya ku-disrepect any of the two, tafadhali yaweke hapa!

3.
Forth and last, I think you should apologies to everyone here at JF. Public apology to this Dr would be great because I personally don’t believe you have got contact with this Dr, as to me you sound like one of the people mnaotuaribia nchi and families respect and harmonies kwa maneno ya umbea wa mitaani kama yako.

- Kuna member hapa anyemjua DR, ambaye amekuwa kama msemaji wake, ni wapi umeona akisema kwamba maneno yangu ni ya umbeya au uongo, au ya kuokota mitaani?

- Contact za DR, ninazo nimepewa jana bila ya maneno kama yako unaamini kwamba nimepewa kwa sababu ya kuleta umbeya dhidi yake na familia yake na kujaribu kuchonganisha familia yake? Do you real believe that?

4.
You comments today have made me rethink if you are not a politician or fisadi ambao mnatuharibia nchi.. and please Learn to respect others first before you use word ‘respect and peace’

- Fisadi kwa sababu ya kusema ukweli? Politician kwa sababu ya kusema ukweli? Mkuu wangu next jaribu kurukia unayoyajua, haya huyajui na hayakuhusu, nilikuwa nimeamua kuyamaliza, lakini I might not kama wewe na the likes hamtaki kunielewa, kwamba sina anything personal na DR, ambaye simjui zaidi tu ya kumuona kwa mbali tena labda mara mbili tu, katika maisha yangu, tena in the 80s, na wala sina tatizo na familia hii, na yeye binafsi analijua hili, na hakuna mahali popote kwenye hii topic nimeleta umbeya, wala maneno ya mtaani.

Respect & Peace.

Field Marshall Es.
 
FMes na future-Tanzania,

Jamani ehh inatosha sasa. Somo limeshaeleweka. Tumeshamuanika sana Dr na familia yake. Inatosha jamani.

FMes, nakukumbusha tu kuwa aliyeleta topic hii ni PASCO na si future-Tanzania. Maana naanza kuona hili nalo linaleta kutokuelewana.

Just incase Mzee Apiyo akisoma haya yaliyoandikwa hapa, basi nanza kupata wasiwasi moyo wake utaanza kufanya kazi vipi. Yameandikwa mengi sasa hapa. Naomba Mungu asijesikia wala kusoma hii topic maana ............................

- Naomba kwa heshima yako uniruhusu nisikujibu mkuu wangu sana.

FMES!
 
Field Marshall ES,

Sina muda tena wa kujibishana kuhusu ili, we are taking this too far and possible both of us (me and you) tunawahurt wahusika on the way.

ila tuu ni vizuri ukajaribu kukaa nchi na kutafakari in deep kwanini watu hapa JF kwenye hii topic wapo very against your comments hata kama sio wahusika?

Field Marshall ES, maybe sometimes ni vizuri kujua nini cha kusema where and when. Na wewe kama ni politician (i am not sure if you are, i have concluded this from your previous comments regarding me, sorry if i am wrong but its your comments which are ambiguous) then its better to know, you can't use politics silly games when peoples feels are concern na pia wakati kama huu ambao huyu dr and familia yake inauguza baba na wamempoteza ndugu yao.

Ni hayo mkuu

Peace?
 
1.
future-Tanzania;Field Marshall ES,

Sina muda tena wa kujibishana kuhusu ili, we are taking this too far and possible both of us (me and you) tunawahurt wahusika on the way
.

- Hapana mkuu I am a real man, na huwa sikurupuki umenirushia matusi mengi sana for what? Hivi unafikiri tulipokuwa tunamvua nguo Balali hapa yeye hakuwa na familia iliyokuwa hurt? Nimesema mwanzoni kwamba sihitaji all this wewe ndiye umeamua kunitukana matusi na kutafuta ushujaa hapa JF kwa kutumia mgongo wangu? Kwamba eti nimeleta umbeya na maneno ya mtaani, wewe kamuombe Mungu wako kijana akusamehe na haya matusi yako, not on me kwa sababu you do know nothing!

2.
ila tuu ni vizuri ukajaribu kukaa nchi na kutafakari in deep kwanini watu hapa JF kwenye hii topic wapo very against your comments hata kama sio wahusika?

- Maana yake ni moja tu kwamba wewe ni mgeni hapa JF, eti unainambia ya wengi kuwa against me unafikri yananisumbua hayo? Who me? Mimi nilifikiri utajitokeza kuonyesha uongo na umbeya wangu, sasa unasema wengi wako against me, hivi hukuwepo kwenye topic ya Balali, hao hao waliposema hakufa na mpaka leo hawajaleta ushahidi, wewe kumbe unajali macho ya watu hapa kuliko ukweli? sasa unafikiri na mimi niko hivyo? No I am not!


3.
Field Marshall ES, maybe sometimes ni vizuri kujua nini cha kusema where and when. Na wewe kama ni politician (i am not sure if you are, i have concluded this from your previous comments regarding me, sorry if i am wrong but its your comments which are ambiguous) then its better to know, you can't use politics silly games when peoples feels are concern na pia wakati kama huu ambao huyu dr and familia yake inauguza baba na wamempoteza ndugu yao.

Ni hayo mkuu

Peace?

- Unasema kusema kwangu kwamba wazee wanazeeka wanahitaji msaada nimetukana mtu? Eti wewe unajua ya kuuguza na kupoteza ndugu yao kuliko mimi? Are you serious? Politics and silly games? Where? Ni wapi hapo nimefanya hivyo?

- Future-Tanzania, chezea wengine hapa sio mimi mkuu, nimesema mapema hii topic iishe wewe ndiye umeamua kuifikisha huku na matusi yako, sasa badala ya kukubali kuwa you were on the wrong side of the glass unajaribu kuja na maneno ya kuzunguka huku umenitukana matusi kwa kosa gani mkuu? Yaani usamaria wangu mwema ndio ninahitaji kulipwa haya matusi yako?

Naomba kukwambia wewe na wengi wengine kwamba hata hao wengine wanaovuliwa nguo hapa kila wakati nao ni binadam pia, Balali naye alikuwa ni binadam pia, Chenge naye ni binadam pia na kuna wanaowajali pia, msirukie ishus bila ya kuwa na ukweli.

Nimemaliza.

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 
1.

- Hapana mkuu I am a real man, na huwa sikurupuki umenirushia matusi mengi sana for what? Hivi unafikiri tulipokuwa tunamvua nguo Balali hapa yeye hakuwa na familia iliyokuwa hurt? Nimesema mwanzoni kwamba sihitaji all this wewe ndiye umeamua kunitukana matusi na kutafuta ushujaa hapa JF kwa kutumia mgongo wangu? Kwamba eti nimeleta umbeya na maneno ya mtaani, wewe kamuombe Mungu wako kijana akusamehe na haya matusi yako, not on me kwa sababu you do know nothing!

2.

- Maana yake ni moja tu kwamba wewe ni mgeni hapa JF, eti unainambia ya wengi kuwa against me unafikri yananisumbua hayo? Who me? Mimi nilifikiri utajitokeza kuonyesha uongo na umbeya wangu, sasa unasema wengi wako against me, hivi hukuwepo kwenye topic ya Balali, hao hao waliposema hakufa na mpaka leo hawajaleta ushahidi, wewe kumbe unajali macho ya watu hapa kuliko ukweli? sasa unafikiri na mimi niko hivyo? No I am not!


3.

- Unasema kusema kwangu kwamba wazee wanazeeka wanahitaji msaada nimetukana mtu? Eti wewe unajua ya kuuguza na kupoteza ndugu yao kuliko mimi? Are you serious? Politics and silly games? Where? Ni wapi hapo nimefanya hivyo?

- Future-Tanzania, chezea wengine hapa sio mimi mkuu, nimesema mapema hii topic iishe wewe ndiye umeamua kuifikisha huku na matusi yako, sasa badala ya kukubali kuwa you were on the wrong side of the glass unajaribu kuja na maneno ya kuzunguka huku umenitukana matusi kwa kosa gani mkuu? Yaani usamaria wangu mwema ndio ninahitaji kulipwa haya matusi yako?

Naomba kukwambia wewe na wengi wengine kwamba hata hao wengine wanaovuliwa nguo hapa kila wakati nao ni binadam pia, Balali naye alikuwa ni binadam pia, Chenge naye ni binadam pia na kuna wanaowajali pia, msirukie ishus bila ya kuwa na ukweli.

Nimemaliza.

Wazee wa sauti ya umeme FMES!


Dah FMES you never like other peoples opinions? You are always right?

Sasa hivi story ya ugonjwa wa Mzee Apiyo ni sawa na topic ya Balali or Chenge! Naomba unieleweshe mkuu maana naona you are the JF Google! do you know something we should know?
 
Baadhi yetu tunaoishi ughaibuni muda mrefu sana, tunafikia kiwango cha kuloose touch with realities back home. Its doesn't matter much about home. Inawezekana anahitaji kusaidiwa kurudi home.

Nimetembelea rafiki zangu wengi huko, baadhi yao, wanaishi pathetic life licha ya kutoka familia za maana bongo. Wengine wao hawana means za kurudi home, na kazi ya box kwa miaka mingi mno, inaharibu brain, baadhi ya wanaurudi bongo with no plans at hand, maisha ya huku yanawashinda na kurudi huko hawawezi, wana end up kuwa nuisence.
Watanzania mlio karibu na mtoto wa Mzee Opiyo, mleteni karibu mwenzetu na ikibidi tusaidiane kwenye shida na raha na sio kusubiri mpaka the innevitable happen.
Wenzetu mlioweka makazi ya kudumu ughaibuni, hii ni changamoto.Kumbukeni na kwenu hasa kama wazee wameshakula chumvi nyingi.Uzeeni kuna upekwe, ugonjwa na hata matatizo mengine ya kifedha.Usipowaangalia wazee ujue nawe uzee wako utapata shida maana Mungu ANATUANGALIA.What goes round comes round.
 
Wazee kama hawa walitakiwa kuenziwa ili waweze kahamisha ule uzarendo wao na kutulisha sisi vijana. Lakini wametupwa mbali. Mimi niliwahi kumsikia zamani wakati niko mdogo lakini kwa muda mrefu sijamsikia. Kumbe alikuwa na matatizo. Tumwombee ili mwenyezi mungu amjalie afya though matukio yaliyotokea mfululizo plus umri vinaweza kuzidisha kuumwa kwake lakini kwa mungu hakuna kinachoshindikana.

Mungu awatie nguvu wanaomuhudumia na wale wa karibu yake.
 
FMES na Future-Tanzania. Mimi nafikiri kuwa huu si muda wa marumbano kwani nchi hii ambayo wote tunajaribu kuwekana sawa ili iende vizuri ina mengi ya kufuatilia plus kurekebisha. Hivyo kushindana na kutoleana lugha zisizona maana si vizuri. Thread haikuwa mbaya it was like an information to JF members os wengine wameguswa na kutoa walichonacho lakini isiende this far kwasababu hakuna tunachofaidi.

Tusonge mbele...
 
Wenzetu mlioweka makazi ya kudumu ughaibuni, hii ni changamoto.Kumbukeni na kwenu hasa kama wazee wameshakula chumvi nyingi.Uzeeni kuna upekwe, ugonjwa na hata matatizo mengine ya kifedha.Usipowaangalia wazee ujue nawe uzee wako utapata shida maana Mungu ANATUANGALIA.What goes round comes round.

THIS,is what one member humu JF,calls kudandia bus kwa mbele.sasa women of substance what exactly is your point?
 
Nimetembelea rafiki zangu wengi huko, baadhi yao, wanaishi pathetic life licha ya kutoka familia za maana bongo. Wengine wao hawana means za kurudi home, na kazi ya box kwa miaka mingi mno, inaharibu brain, baadhi ya wanaurudi bongo with no plans at hand, maisha ya huku yanawashinda na kurudi huko hawawezi, wana end up kuwa nuisence.
Watanzania mlio karibu na mtoto wa Mzee Opiyo, mleteni karibu mwenzetu na ikibidi tusaidiane kwenye shida na raha na sio kusubiri mpaka the innevitable happen.

..angalia ulivyoumbuka sasa maana unataka kumwonyesha mwenzako mtoto wa mzee apiyo alosto kumbe jamaa daktari na kila mwaka yupo home na ana uhusiano mzuri na mzee wake.....na hao uliowaita pathetic & nuisance ni kweli washkaji zako au umeokota story tuu za mtaani kutoka kwa wambea wenzako ukaja kubandika humu?unaonekana una maisha magumu sana wewe maana mtu anayejiheshimu hawezi andika utumbo ulioandika!
 
Back
Top Bottom