Timoth Apiyo Alazwa Afrika Kusini

Nyie mnaokazana kusema kuwa watuw a ughaibuni wametekeleza familia zao si muwataje ni akina nani lakini siyo kuongelea majority....wengine mnaweza kuwa hapo hapo bongo stll mkawa mmewatekeleza wazazi wenu pia kuona kuwa mmesoma mna kadigirii na kanyuma na house girl.
Kama mtu unaongea ongea na facts siyo ku generilize issue hapa.ndiyo kama mnavyokazana ooh wabeba mabox ughaibuni utadhani wwana shida ok as logn as haombi msaada au kuja na kukukopa pesa what do you care!...wakati watu tukirudi bongo nyie nyie mlioko huko bongo mtaanza "Naomba kadola"...au niachie this and that"...sasa yeye si mbeba maboz unaomba nini?.hebu acheni kukufuru.
 
Nyie mnaokazana kusema kuwa watuw a ughaibuni wametekeleza familia zao si muwataje ni akina nani lakini siyo kuongelea majority....wengine mnaweza kuwa hapo hapo bongo stll mkawa mmewatekeleza wazazi wenu pia kuona kuwa mmesoma mna kadigirii na kanyuma na house girl.
Kama mtu unaongea ongea na facts siyo ku generilize issue hapa.ndiyo kama mnavyokazana ooh wabeba mabox ughaibuni utadhani wwana shida ok as logn as haombi msaada au kuja na kukukopa pesa what do you care!...wakati watu tukirudi bongo nyie nyie mlioko huko bongo mtaanza "Naomba kadola"...au niachie this and that"...sasa yeye si mbeba maboz unaomba nini?.hebu acheni kukufuru.
Rudi nyumbani waoaji tupo huku huko mnayeyushana....
 
1.

-- Unasema kusema kwangu kwamba wazee wanazeeka wanahitaji msaada nimetukana mtu? Eti wewe unajua ya kuuguza na kupoteza ndugu yao kuliko mimi? Are you serious? Politics and silly games? Where? Ni wapi hapo nimefanya hivyo?
Wazee wa sauti ya umeme FMES!

Wewe mbona hurudi au mzee hazeeki?

haya unayolonga hapa ni umbea period.Ya apiyo waachie apiyo family hayakuhusu hujui linaloondelea wewe sio msemaji wa familia yao......
 
Salaam,
Habari toka nchini Afrika Kusini, zinasema,
Katibu Mkuu wa Ikulu Mstaafu, Mzee Timothy Apiyo, amelazwa kwenye hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini.

Mzee wetu huyu ambaye ni mjamaa wa kweli kama Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, alikuwa ni Katibu Mkuu wa Ikulu kwa Kipindi kirefu mpaka alipostaafu na kuhamia Kinyerezi hapa jijini Dar es Salaam ambapo ameendelea kuishi maisha ya kawaida ya kijamaa kwa kufuata falsafa ya Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.

Mzee Apiyo ambaye kiumri ni mtu mzima, alifiwa na mke na mtoto siku za nyuma, na hivi karibuni, alifiwa tena na mtoto wakati tayari akiwa nchini Afrika Kusini.

Tunaomba Mungu aifariji familia ya Mzee Apiyo, awape nguvu, baraka na uwezo ili wayaweze yote katika Yeye awatiaye nguvu na kuwapa baraka za uponyaji wa haraka...Amen.


Quote: Yo-Yo

haya unayolonga hapa ni umbea period.Ya apiyo waachie apiyo family hayakuhusu hujui linaloondelea wewe sio msemaji wa familia yao......
 
Yo Yo's Yo Yo has no status.
JF Senior Expert Member

Default Re: Advocate Magai wa IMMA ashtakiwa kwa shambulio


Quote:Zanaki

A Dar es Salaam businesswoman, Ms Mange Kinambi, has sued Mr Sadock Dotto Magai, an advocate from IMMA Advocates Company, claiming over 150m/- for tortuous assault at the Kilimanjaro Kempinski Hotel last Sunday.

Through Tenga and Partners Advocates, the city businesswoman filed the suit at the High Court yesterday, demanding for specific damages of 1,575,000/- and $24,120 and general damages of 135m/- and costs of the suit - plus any other relief the court may grant.

It is alleged that on March 15, this year, Ms Kinambi and her two friends, namely, Nafue Nyange and Lona Mashiba, went to Kilimanjaro Kempinsk Hotel for a party. On arrival, they met another friend, Matukio Chuma, with whom they later joined another friend, Rita Mchaki.

While at the area, she ( Kinambi) bumped into the advocate whom she had known since 2003. The latter was sharing a table with one Bashiri Awale, who is also her friend and one Sandra, a girlfriend of the advocate. Some 20 minutes into the party room, the advocates went to their table and pulled Nyange and went to the manager of the Kempinski bar and when they went back they found Ms Kinambi on the dancing floor with her friends.

While still at the dancing floor, for no apparent reason, the advocate started shouting at her, demanding that she should leave the room, and was subsequently attacked when she refused to obey the advocate's demands - calling her bad names. It is alleged that the advocate later grabbed her, pulling her bra back and forth, exposing her breast in public.

The action of pulling Ms Kinambi back and forth also allegedly caused her a lot of pain, particularly on her breast which had to undergo an operation – from which grew a big scar. The assault lasted nearly four minutes, during which Ms Kinambi's friends pleaded with the advocate not to assault her to no avail. Finally, Good Samaritans interceded, pleading with him not to hurt the woman.

Eventually, the advocate pushed the woman away with great force, from which the woman suffered both physical and personal injury - humiliating her, injuring her feelings and exposing her to public ridicule before her colleagues and prospective business clients.

Ms Kinambi is demanding $7,000 as costs of carrying out anew the operation on the injured breasts at the hospital in Dubai, $1,600 in return flights for her and her attendant, $700 for costs of staying in hospital for one week and $7,000 for two weeks in hotel accommodation for her and three weeks for her attendant.

She is also claiming 150,000/- in lost jewellery, a hand bag containing $7,000, some 75,000/- in local currency and a mobile phone valued at $820. She also demands general damages for loss of reputation as an unmarried Muslim girl and loss of reputation of her business, damages of humiliation, physical pain, injury of feelings, ridicule and loss of business.


Daily News | Advocate booked for assault


Quote: Yo Yo

aaaah utamu hafai utamu hafai......mnajionea wenyewe......huyu mange kaolewa Dubai huko na mshefa.....alikwenda kutafutani na mabwana za watu?...

.......nionavyo kuna conflict of interest kati ya Magai 4 what i know they were lovers b4........

Quote: Yo-Yo

haya unayolonga hapa ni umbea period.Ya apiyo waachie Margai family hayakuhusu hujui linaloondelea wewe sio msemaji wa familia yao..
 
Eeenh kwani huyo dada kakwambia kuwa anataka kuolewa!?? Post yako hapo juu imemtukana na kumdhalilisha, unajuaje kama hana mume?? Gunga yako hiyo kainunulie Revola......unakera!!! Kwanza muoaji utakuwa wewe? Una mapepe/hujatulia na ndio maana mademu wana kumwaga kila siku....LOL
nani kakuambia iam after mademu.......u dont know me kijana.....ndio maana nimejiita yo yo.......behind sio kama unavyofikiri...
 
Eeenh kwani huyo dada kakwambia kuwa anataka kuolewa!?? Post yako hapo juu imemtukana na kumdhalilisha, unajuaje kama hana mume?? Ngunga yako hiyo kainunulie Revola......unakera!!! Kwanza muoaji utakuwa wewe? Una mapepe/hujatulia na ndio maana mademu wana kumwaga kila siku....LOL


Revola, revola, revola ,,,,,,,,,,,,,,,,,

Wengine hata hela ya revola hatuna, lohhhh.......

Hivi ngunga ni nini? Ni lugha gani hiyo? Naona ushamba wangu unazidi.
 
MMANYEMA wa Zenji Kibunango,

Mambo vipi lakini? Naja mwezi wa saba huko kwenu. Itabidi tutafutane tupate bia na baadaye niwaone watoto wa Comoro maana huwa nawasikia tu...... Ila sijui kipindi hicho tutahitji VIZA?

Jamani ehh, kesho. Wengone pembe zinayeyuka.......

NN: Ng'waninyami; ndiyo wewe kule kwetu twaimba waolea macho? Au nimekufananisha tu Mkuu.
 
nani kakuambia iam after mademu.......u dont know me kijana.....ndio maana nimejiita yo yo.......behind sio kama unavyofikiri...

Ohh my God....Oh my god...

Jamani wanaume acheni mchezo mchafu, mtoto analia nyuma hakufai kuko tepetepe.

Kuna kipindi alikuwa anamtuhumu Shy kwama SI-RIZIKI.

Sasa kwa waelewa tunaunganisha NUKTA.


MJ
 
- Mzee ni jirani yangu kule Kinyerezi, wiki iliyopita alifiwa na mtoto wake wa mwisho wa kike Toto RIP, kwa sasa amepoteza mke, mtoto mmoja wa kiume aliyekuwa akimuaminia sana John RIP, na mtoto mwingine tena wa kiume Odinga RIP, that is a little bit too much to take at his age.

- Kwa sasa karibu upande mmoja wa mwili wake umepooza, serikali imekuwa akimhudumia sana, tena sana na ilikuwa baada ya Chadema under Mtei/Ngwilulupi kuipigia kelele sana serikali on afya ya huyu mzee na huko SA amekuwa akienda mara nyingi sana na India, majuzi baada ya huyu mtoto wake kufariki alizidiwa ghafla na akapelekwa mara moja na sasa yupo huko SA hospitali, hali yake sio mbaya ni kawaida.

- Kwa wakuu wowote humu JF mlioko Poland, sio vibaya mkamkumbusha mtoto wake mkubwa aliyeko huko kwa muda mrefu sana sasa, kwamba awe anajaribu kumcheki cheki mzee, maana wazee wanazeeeka sasa.

Respect!

FMES!
RIP mkuu daima utakuwa mioyoni mwetu.
 
Back
Top Bottom