Nimeanza na what is real ?Soma soma mkuu tu.. siri ya mafanikio ni kwamba mm napenda kujisomea kila kitu kinacho-make sense
Dr Baba swalehe honourable mbunge mtarajiwa wa Burugi chattleMimi ndo nayasoma sa hivi ingawa sio fani yangu ila nayapenda toka advance
Nipe siri ya mafanikio kiongozi
Hahahah mkuu asante ila sifikirii siasa mkuuDr Baba swalehe honourable mbunge mtarajiwa wa Burugi chattle
WASOMI BADO NI WATUMWA KWA WANASIASA INGIA TU UKAWATUME WASOMIHahahah mkuu asante ila sifikirii siasa mkuu
Nliona ni ujinga tu
Sa hivi ni mwendo wa scientific works
Mimi nishaionja bibiKila nafsi itauonja umauti.
Yaaah anza nacho mkuu.. Ila soma yale ambayo yako applicable kwenye real life maana unaweza ukaaoma mambo ukiwa unawaelezea watu wanakuona chizi. Ishanitokea sana
Mzee nasaka masters sa hivi kwenye ishu za neuroWASOMI BADO NI WATUMWA KWA WANASIASA INGIA TU UKAWATUME WASOMI
ukifika hapo kwenye kudistinguish kati ya real na illusion nambie mkuu make "what is real" ? imekuwa ni ngumu kuelewekaMzee nasaka masters sa hivi kwenye ishu za neuro
Hizi ndo comment za mwisho ntapotea humu miaka
Hahaha poaukifika hapo kwenye kudistinguish kati ya real na illusion nambie mkuu make "what is real" ? imekuwa ni ngumu kueleweka
Hahaha poa
Sikia sasa mkuu
Hebu niambie vitabu vingine vya kusoma
Kuhusu haya mambo kama unaweza nsaidia
Nisaidie na pdf zake
So hichi ni kitabu cha quantum physics auingia google andika "drive pdf" kisha andika Neural quantum network pdf kwa begginers inawafaa sana....just use resource zilizopo katika ealry phases katika kujifunza utaelewa mengi mkuu.....
Nshachukua asanteingia google andika "drive pdf" kisha andika Neural quantum network pdf kwa begginers inawafaa sana....just use resource zilizopo katika ealry phases katika kujifunza utaelewa mengi mkuu.....
So hichi ni kitabu cha quantum physics au