Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,488
- 20,038
Hela ya Tiktok ni unapewa na followers sasa kama anafikiria kuwa ni hela ipo tu hewani 😂😂😂 hapo kazingua.So unaelewa hao live streaming ndio wanapewa donations na fans sasa huyo hajui
na hio ni ndogo kuna mademu wale wana kaa uchi wana make even 100$
Anatakiwa aelekezwe kuwa ili apate.hela ya Tiktok awe strategically hasa kwenye followers wake.
Anatakiwa awasome followers wa Tiktok na afahamu ni followers wa nchi gani wanatabia ya kuwa gift tiktokers akishafahamu sasa aanze kukomaa nao kwa kuwa follow na ahakikishe wana follow back, then aanze ku share nao videos zake inbox ili awavute kumtembelea (hapo bado hatapata shilingi maana silingi ni hadi uwe live)
Sasa akishatengeneza fan base yake aanze kwenda live huku aki sharelive yake na hao followers sasa, ikiwezekana awe na simu mbili au tatu zenye Acc tofauti za tiktok, yaani hii anaenda luve hizi mbili ana share live yake. (Akomae kiasi awe serious)
Sasa hapo bado lazima aunganishe hiyo Acc ya Tiktok na visa ili akiwa gifted apate maokoto.
Kikubwa aweke contents zinazomhusu yeye sio picha za wakina Ronaldo mara Messi kifupi awe real asiwe parody ili ajenge trust ya fans wake wasihisi ni fake.
Akiamua anaweza akawa anaenda live kwebye issue za utalii labda utalii wa ndege au wadudu au hata historia au utamaduni uzuri bongo contents ambazo ni interested zipo nyingi sana so atafute hizo zilizo unique na on field kabisa.
Pia ajue lugha ya kiingereza, itamsaidia zaidi japo si lazima ila hashtags awe nazo na title ya live ziwe sawa na contents.
Ila ajue bando hapo sio chini ya 10k kwa siku so ajitafakari anaweza au anatamani tu.
Ila its very possible na haiitaji uvivu wala uzembe wakijinga awe sharp.

uvivu huo mka lime uko shamba