Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,447
- 11,311
Wakuu za mchana
Hivi unatakiwa umeet requirement zipi ili uanzeee kulipwaa???
Hivi unatakiwa umeet requirement zipi ili uanzeee kulipwaa???
UtapoteaTufanye kazi za mikono, hii itatusaidia kuokoa muda kujenga afya na maadili hivyo kuepuka janga la ushoga



aisee vijana , mkuu umesema umaskini utauua kwa njia zozote .We Boya ndio unakaa kubishania likes za TikTok pale kijiwe nongwa? Mnakaa kwenye WiFi ya bure kutwa nzima mpo TikTok mkitegemea mtalipwa hamna kazi mnafanya kutwa nzima TikTok useless kabisaWakuu za mchana
Hivi unatakiwa umeet requirement zipi ili uanzeee kulipwaa???
Vijana wanaopenda mtelezo hawataki kufanya kazi za kuchosha mwili wakati dada zao wanajibinua huko TikTok na mwili unashughulikiwa pia sasa watembee na mafuta na wao watalipwa na TikTokaisee vijana , mkuu umesema umaskini utauua kwa njia zozote .
My advice nenda Google wameweka details zao zote kuhusu hizo requirements
Mwambie avae dela ndani asivae chupi alafu ageukie kibra wanaopenda sana mtelezo mwisho mafuta yanawahusuUjibinue kama wale mademu
Inaonekana una kitu brooo utafkaaa mbaliiiiWe Boya ndio unakaa kubishania likes za TikTok pale kijiwe nongwa? Mnakaa kwenye WiFi ya bure kutwa nzima mpo TikTok mkitegemea mtalipwa hamna kazi mnafanya kutwa nzima TikTok useless kabisa




Thanks brotherKitu cha kwanza uwe na Audience (followers 10k-100k and above)
uwe na video views Kama 100k na kuendelea Katika siku 30
Sasa kwa nchi kama Tanzania kwasabu tiktok creator fund iko Europe na america bas unaweza ingiza ela kwa ku run Matangazo na kujza vitu au unaweza ku pata donations kwa wale wanao kufollow lkn kwa nchi kama hii wenye urahisi kupata ela kwenye hizo njia ni wanawake hasa
mm nina rafik yangu huwa anatengeneza kati ya $500 hadi 1000$ na huwa ananionesha kabisa withdraws za PayPal lkn huwa hatoi moja kwa moja kuna jama yuko USA ana wezesha hela hizo yeye kuzipata
kwa wew mwanaume labda uwe content guru mkali san yan leta vitu authentic san
ALL the best
Kutwa nzima mnabishania likes za TikTok eti nimepata likes 800 huyu anasema 200 huyu 100 hivi nyingi mna akili pumbavu?Inaonekana una kitu brooo utafkaaa mbaliiii![]()
Sawa mzeeeKutwa nzima mnabishania likes za TikTok eti nimepata likes 800 huyu anasema 200 huyu 100 hivi nyingi mna akili pumbavu?
Wasalimie sana hapo kijiweni kwenu unafikiri ni rahisi? Sukuma hata mkokoteni Ukishindwa uza Chupa za maji hela za mtandaoni sio rahisi km unavyofikiri usijue ukadata mwisho utasilimu amri, paypol ushawahi Iona ina-operate bongo?Thanks brother
Mbn kuna watu wengi wanagenerate incomeWasalimie sana hapo kijiweni kwenu unafikiri ni rahisi? Sukuma hata mkokoteni Ukishindwa uza Chupa za maji hela za mtandaoni sio rahisi km unavyofikiri usijue ukadata mwisho utasilimu amri, paypol ushawahi Iona ina-operate bongo?