Tiktok

Tiktok

ba

ndo la 10k 😂 Mademu wanaweza ngumu kwa wanaume anae jitafuta Wifi kwa mwenz ni 70k
Huyu jamaa kwa haraka anahitaji mtaji usiopungua 500k kama kweli anataka kuingia kwenye iyo biashara na hapo anatakiwa awe na simu kali yenye uwezo wa kamera na speed yakueleweka.

Then aanze michakato yake kulingana na set up atakayochagua.

Asifikiri ni biashara ya kuanza bure a.k.a mtaji idea 😂 ataumia sana na hatafanikiwa. ukweli mchungu
 
Mkuu, wewe haujui Tiktok na sidhani kama hata una Acc tiktok. Wewe unaongelea nadharia tu za kijima.

Nipo Tiktok na naifuatilia sana Tiktok japo kwa shughuli zangu tofauti ila kwa Tiktoker yoyote akisoma nilichoandika anajua ninachomaanisha.

Wabongo wapo nyuma sana Tiktok sababu ya uoga usio na maana na pia wabongo hawa gift na wanao gift ni wachache sana na wana gift kwenye live za hao wakenya unaowashangaa ili wapate promo na kuongeza followers.

Jielimishe Mkuu mambo ni possible sana, na haimaanishi kuwa kijana ni mvivu au hataki kazi ngumu. Dunia imebadilika.

Jasho unatakiwa utoke gym tu sio kazini Mkuu 😂
Hapo Bando anadandia WiFi ya bure usiku saa 7 baada ya wenyewe kulala alafu unamwambia nini anaweza kuchoma 70k perweek kwa ajili ya Bando tu, sio rahisi km mnavyosema ingekua ni rahisi wabongo wanavyojua kukumbatia fursa za JATU na Kylanda wangekua wamejaa TikTok wote wangekua matiktoker, anza na moja
 
Huyu jamaa kwa haraka anahitaji mtaji usiopungua 500k kama kweli anataka kuingia kwenye iyo biashara na hapo anatakiwa awe na simu kali yenye uwezo wa kamera na speed yakueleweka.

Then aanze michakato yake kulingana na set up atakayochagua.

Asifikiri ni biashara ya kuanza bure a.k.a mtaji idea 😂 ataumia sana na hatafanikiwa. ukweli mcn
 
Huyu jamaa kwa haraka anahitaji mtaji usiopungua 500k kama kweli anataka kuingia kwenye iyo biashara na hapo anatakiwa awe na simu kali yenye uwezo wa kamera na speed yakueleweka.

Then aanze michakato yake kulingana na set up atakayochagua.

Asifikiri ni biashara ya kuanza bure a.k.a mtaji idea 😂 ataumia sana na hatafanikiwa. ukweli mchungu
cakcaclifmfcff
 
Huyu jamaa kwa haraka anahitaji mtaji usiopungua 500k kama kweli anataka kuingia kwenye iyo biashara na hapo anatakiwa awe na simu kali yenye uwezo wa kamera na speed yakueleweka.

Then aanze michakato yake kulingana na set up atakayochagua.

Asifikiri ni biashara ya kuanza bure a.k.a mtaji idea 😂 ataumia sana na hatafanikiwa. ukweli mchungu
Alafu unatoka huko kwenu mbwinde unasema ni rahisi unawajua wabongo vizuri kwenye vitu rahisi ushawahi kuona wanacheza mbali?
 
Huyu jamaa kwa haraka anahitaji mtaji usiopungua 500k kama kweli anataka kuingia kwenye iyo biashara na hapo anatakiwa awe na simu kali yenye uwezo wa kamera na speed yakueleweka.

Then aanze michakato yake kulingana na set up atakayochagua.

Asifikiri ni biashara ya kuanza bure a.k.a mtaji idea 😂 ataumia sana na hatafanikiwa. ukweli mchungu
yani unapo anza na kujenga brandy hutakiwi kuwaza kuingza ela you have to invest more more

tatizo wabongo elimu hamna kbsa mtu hajiuliz wale wakina gym shark wana pataje ela
na yale makampun ya vyakula or tech yanawekeza kwa vigezo gan kwa content creator

bora afanye Youtube japo nako inabid mfukon awe vyema kama ni jama wa kijiweni ajisake kwanza
 
Alafu unatoka huko kwenu mbwinde unasema ni rahisi unawajua wabongo vizuri kwenye vitu rahisi ushawahi kuona wanacheza mbali?
Ni rahisi kweli, sasa wewe unataka kufanya biashara bila mtaji wa fedha?, kuwa rahisi kupata haimaanishi ni bure.

Ila kusema haiwezekani au ni ngumu ni uongo mkubwa.

Awe na mtaji wa kuanzia plus ajue tu kuwa sio swala la usiku mmoja hapo ategemee kuona matunda kuanzia March 2024,tena kama akijitahidi akapata followere 1k ili aende live Tiktok na hapo bado atahitaji kusoma sana soko na trend za fans wake.

Hiyo ni kazi rahisi kwa mtu aliye serious na hiyo biashara, ni rahisi sababu sio habari ya kubahatisha ni kitu ukifikia vigezo unaona returns sasa kwanini usijitahidi ufikie vigezo?
 
yani unapo anza na kujenga brandy hutakiwi kuwaza kuingza ela you have to invest more more

tatizo wabongo elimu hamna kbsa mtu hajiuliz wale wakina gym shark wana pataje ela
na yale makampun ya vyakula or tech yanawekeza kwa vigezo gan kwa content creator

bora afanye Youtube japo nako inabid mfukon awe vyema kama ni jama wa kijiweni ajisake kwanza
Kabisa Mkuu, tatizo wabongo wanataka mambo ya hisani sana, hawataki kuinvest hata kidogo. Sasa mtu unajiuliza inakuwaje mtu anataka pesa halafu hataki kutumia pesa, unakosa majibu.
 
Mkuu unajua au unaongelea stori?, Tiktok ni rahisi sana muhimu ni muda na bando lake tu.

Kupata followers wa uhakika anabidi aende kwenye Acc za watu kama Kufuli la bank au Mwalimu wa Tiktok alafu kwa hawa wakenya aende kutafuta na kuwasoma followers wanao gift sasa yeye aende.wafollow then awasumbue wamfollow ila sasa awasumbue kimkakati ili asionekane msumbufu.

Ni rahisi sana na narudia ni rahisi sana, ushuhuda ninao wakutosha. So afanye kama kazi na sio kujaribu

Una experience gani kwenye ilo? Maana hata ukienda forex kuna watu wakikuonesha withdrawal zao unaweza jidharau, but how sure ‘re you kwenye ilo kua ni simple na inalipa?
 
Ni rahisi kweli, sasa wewe unataka kufanya biashara bila mtaji wa fedha?, kuwa rahisi kupata haimaanishi ni bure.

Ila kusema haiwezekani au ni ngumu ni uongo mkubwa.

Awe na mtaji wa kuanzia plus ajue tu kuwa sio swala la usiku mmoja hapo ategemee kuona matunda kuanzia March 2024,tena kama akijitahidi akapata followere 1k ili aende live Tiktok na hapo bado atahitaji kusoma sana soko na trend za fans wake.

Hiyo ni kazi rahisi kwa mtu aliye serious na hiyo biashara, ni rahisi sababu sio habari ya kubahatisha ni kitu ukifikia vigezo unaona returns sasa kwanini usijitahidi ufikie vigezo?
Screenshot malipo yako kutoka TikTok usituletee masuala ya motivation speaker hatutaki utumotiveti na screenshot za malipo uliyoyapata mwezi huu umelipwa kiasi gan mwezi huu na hao TikTok km hujawahi hata kulipwa Bora upige kimya tu
 
Una experience gani kwenye ilo? Maana hata ukienda forex kuna watu wakikuonesha withdrawal zao unaweza jidharau, but how sure ‘re you kwenye ilo kua ni simple na inalipa?
Hata mimi mwanzo nilikua naona ni kitu kisichowezekana hasa nikilinganisha na Forex. Ila baada ya kuona mtu katumiwa gift na mimi binafsi nikamshauri why asitumie Visa ya voda maana alikuwa hajui aitoe vipi nilipoona kafanikiwa ikanifanya nianze kuifuatilia Tiktok vizuri.

Hakuwa amepata hela nyingi ni kama US$ 8 hivi, na ni baada ya kuwa live japo na yeye anakesha sana mtandaoni hasa Tiktok huko.

Ni hela isiyo na longolongo kama utakuwa na hao followers wakukutunuku.

Tatizo bongo unaweza ukakuta mtu ana followers hata 20k ila hawezi kupata hela hata akienda live sababu 99% ya followers wake ni choka mbaya na wanafunzi wa vyuo wanaopenda trend na hawana hela ya kununua hizo gift ili wawatunuku.

Kuw na followers wengi haimaanishi ndio kutengeneza hela bali kuwa na followers wanaoingia kwenye live yako na wenye interest na content zako na wenye uwezo wakununua hizo gift ndio kunaweza kukupa mwanga wa kupata hayo maokoto.

Sio biashara ya kuweza kutengeneza hela ghafla hapana, inahitaji dedication sio kidogo na ukiweza kutengeneza US$ 20 kwa siku wewe ni mwamba kweli kweli na ukijichunguza utakuta umetumia bando la hata Tsh.10k labda uwe kwenye free WiFi
 
Screenshot malipo yako kutoka TikTok usituletee masuala ya motivation speaker hatutaki utumotiveti na screenshot za malipo uliyoyapata mwezi huu umelipwa kiasi gan mwezi huu na hao TikTok km hujawahi hata kulipwa Bora upige kimya tu
Embu nioneshe wapi nimesema ninaifanya hiyo biashara?. Alafu tuendelee.

Kama haujui uliza, usione soo kuelimishwa.
 
Mi nimechoka kuelekeza bhana 😂 kuna watu wagumu sana kusikia asha shiba ubwabwa wa shemeji anakuja kubishana na hana hoja
 
Embu nioneshe wapi nimesema ninaifanya hiyo biashara?. Alafu tuendelee.

Kama haujui uliza, usione soo kuelimishwa.
Sasa unatetea kitu cha kusoma Google hujaingia hata field ukaja na vivid evidence unatuandikia mashudu hapa unahisi Sisi wote mazombi
 
Hata mimi mwanzo nilikua naona ni kitu kisichowezekana hasa nikilinganisha na Forex. Ila baada ya kuona mtu katumiwa gift na mimi binafsi nikamshauri why asitumie Visa ya voda maana alikuwa hajui aitoe vipi nilipoona kafanikiwa ikanifanya nianze kuifuatilia Tiktok vizuri.

Hakuwa amepata hela nyingi ni kama US$ 8 hivi, na ni baada ya kuwa live japo na yeye anakesha sana mtandaoni hasa Tiktok huko.

Ni hela isiyo na longolongo kama utakuwa na hao followers wakukutunuku.

Tatizo bongo unaweza ukakuta mtu ana followers hata 20k ila hawezi kupata hela hata akienda live sababu 99% ya followers wake ni choka mbaya na wanafunzi wa vyuo wanaopenda trend na hawana hela ya kununua hizo gift ili wawatunuku.

Kuw na followers wengi haimaanishi ndio kutengeneza hela bali kuwa na followers wanaoingia kwenye live yako na wenye interest na content zako na wenye uwezo wakununua hizo gift ndio kunaweza kukupa mwanga wa kupata hayo maokoto.

Sio biashara ya kuweza kutengeneza hela ghafla hapana, inahitaji dedication sio kidogo na ukiweza kutengeneza US$ 20 kwa siku wewe ni mwamba kweli kweli na ukijichunguza utakuta umetumia bando la hata Tsh.10k labda uwe kwenye free WiFi

Nimekuelewa.
 
Sasa unatetea kitu cha kusoma Google hujaingia hata field ukaja na vivid evidence unatuandikia mashudu hapa unahisi Sisi wote mazombi
Mimi na wewe nani anayesoma google?, Ningewajulia wapi watu kama Kufuli la bank au Mwalimu wa Tiktok? omba kuelimishwa acha kukaza kichwa Mkuu haikusaidii.

Ila uzuri naamini unapata elimu japo hautaki kukubali wazi.

Ungeuliza tu kwa busara; Mkuu naona na wewe una ufahamu na Tiktok, naomba niambie wazo lako ni lipi kwa unavyoifahamu Tiktok ili vijana tuangalie hiyo fursa kama tutaiweza hapo ningekupa mawazo yangu juu ya Tiktok na pengine ungenufaika wewe au mwenzako.

Usiwe na ujuaji Mkuu hasa kwa jambo usilolifahamu vyema. Penda kuuliza na kudadisi sio kubishana. Haikusaidii.
Kwa kubishana unafanya hata mimi nakosa fursa ya kujifunza kutoka kwako namna unavyoifahamu na kuitumia Tiktok.

So unaweza ukaona ubishi wako haukuathiri wewe pekee bali hata mimi na watu wengine wanaofuatilia mjadala hasa mtoa uzi.
 
First of all, Tik Tok ni ujinga na upuuzi kwa mwanaume. Second una idea gani na content gani? Tik Tok wanaoingiza pesa ni nje tu hasa wanawake kwa dancing, twerking, singing labda na upuuzi mwingine. na wanaume labda comedy za kujidharirisha. Na ndio maana nasema tiktok ni upuuzi sababu hakuna cha maana, watumiaji wengi ni wanawakenna watoto, na kutengeneza pesa kwa Mtanzania mwanaume ni almost impossible.

Njia bora ya kutengeneza pesa kwa Tanzania ni youtube angalau. Na uwe na content zenye akili either kwa kiswahili au kingeereza. Ila kama unajua kingeereza kile fluent basi inakuwa rahisi kidogo. Kwa mfano mimi naongea fluent American English. Nilijaribu kutengeneza short kuongelea topic fulani kwa kiingereza then nikapata views 1700 na 2 subscribers immediately, na views wangu wote wametokea USA, UK, Germany na India sema nikaachana nayo sababu sina muda. Na kitu kizuri kuhusu youtube ni kwamba kila unavyozidi kupost consistently ndio unavyozidi kupata more views sababu the youtube algorithm inakuwa ina soma aina ya content yako na kupush kwa watu sahihi.

Malipo ya youtube ni kwamba kutegemea na niche yako na traffic yako baada ya kukizi vigezo vya monetization ni sio chini ya 0.5$ mpaka 1$ kwa 1000 views kwa Tanzania, ila kama traffic yako ni kutoka nje kama mimi basi sio chini ya 1$ mpaka 6$ per 1000 views. Means kama ukiwa na bahati ya kupata views at least 100,000 per video means haukosi 300$ mpaka 600$ au kwa tsh ni laki 6 mpaka million 1.2 per video, sasa itategemea una upload video gani kwa siku na niche yako ni kubwa au maarufu kiasi gani. Mfano niche yangu watu wanaofanya kama mimi hawakosi views 500,000 mpaka 1,000,000 a day. It's fuking incredible. Na kizuri ni kwamba youtube hauitaji bando la kustream sijui na upuuzi gani. Jero tu inatosha kuupload video moja baada ya kuicompress kwa premier pro kazi imeisha.

So ushauri wangu ni kuwa na idea solid, then fanya youtube either kwa kiswahiliau kingeereza, na kama ukiwa na commitment na consistency basi utaona kitu. Ila ukweli ni kwamba Tik Tok ni upuuzi kiujumla.
 
Back
Top Bottom