Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,324
Reaction score
2,700
Hivi utajisikiaje ukaanza kutumia sauti yako kama Comment kwenye mtandao wa TikTok ๐Ÿ˜„.



TikTok imeanza kuifanya upande wa comments uwe ni zaidi ya maandishi tu! ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ“ฑ๐Ÿ”ฅkwa kuongezea Vipengele vipya kama vile:

๐ŸŽ™๏ธ Voice Comments โ€” badala ya kuandika, unaweza kurekodi comment ya sauti hadi sekunde 60. Kipengele hiki kinaanza kusambazwa duniani kwa akaunti za miaka 18+.



๐Ÿ“Š Comment Polls โ€” creator anaweza kuweka poll kwenye comment ya video yake, akiwa na hadi chaguo 5, na followers wapige kura moja kwa moja.

๐Ÿ–ผ๏ธ Photo Carousel Comments โ€” unaweza kuweka hadi picha 9 kwenye comment moja, badala ya picha moja.

๐Ÿ“ธ Live Photo Comments โ€” Live Photo inaweza kuonekana ikiwa na muda mfupi wa movement badala ya kuwa picha tuli tu. Kipengele hiki kinapatikana kimataifa.

Kwa creators, hii ni game changer kabisa ๐Ÿ˜๐Ÿ”ฅ Comment section sasa inaweza kuwa sehemu ya content yenyewe!

๐Ÿ‘‰ Wewe ungependa kutumia feature ipi kwanza? ๐Ÿ‘€
 
Hapa si itakuwa matusi matupu na kashfa? Utasikiliza comment ngapi kama wachangiaji ni wengi?
 
Reactions: Lax
Hapa si itakuwa matusi matupu na kashfa? Utasikiliza comment ngapi kama wachangiaji ni wengi?
Unafikiri hawajafikiria hili? There must be an AI ya kufilter matusi ๐Ÿ˜‚ uzuri AI kadri siku zinavyoenda inafunzwa na kulishwa data mpaka za local na vernacular languages
 
Sijawahi kutumia huo mtandao
Ni mtandao mzuri kama unajitambua na unajua unachokitaka huko na why uwe nao, mi huwa nautuma kujifunza mambo mengi ya muhimu sana ambayo hata YouTube huyakuti kutokana na sheria kali za Google... Uzuri algorithm yake ikishajua unapendelea nini basi inakua inakusogezea tu, huwezi patana na hayo matusi au mada za kipuuzi labda uzitafute mwenyewe kwa nguvu nayo itakuletea topics hizo hizo accordingly.
 
Duh imagine mtoto anaezaliwa Leo maisha atakayoishi, hizi movie za sci-fi hua Zina ujumbe ambao hatuzingatii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ