Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 422
Hili la ndugu zetu Tigo kukaa kimya wakiwa na pesa zetu, tunashindwa kufanya miamala na hawatoi maelezo mapema kwa walaji, Waziri ulifanyie kazi.
Napendekeza kila mwenye fedha TigoPesa apewe gharama za usumbufu 3% ya kiasi alichonacho katika account
Napendekeza kila mwenye fedha TigoPesa apewe gharama za usumbufu 3% ya kiasi alichonacho katika account