Tigopesa hii si haki

Tigopesa hii si haki

Simara

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
7,561
Reaction score
23,991
Tigo kwa kweli mnakera sana, nimemtumia mtu laki 2 leo, mimi nimekatwa elfu moja na yeye ili atoe laki 2 kamili imebidi nimuongezee elfu 4500....so nimetuma laki 2 04500....ukijumlisha na ile elfu 1 unapata 5500 ambayo ndyo Total ya makato yenu. Hapana hii si haki mnatuumiza sana wananchi
 
Turudieni Huduma za benki,M-PESA laki 300000 unakatwa 7000
 
kweli mkuu jana mimi nimekatwa buku 5 hivi hivi kwa tulaki tuwili tu
 
Daah hi mitandao uko n kukomeshana akiya nani serikal wawamulike
 
Hwa bank ndio waanzishe Mawakala mitaani kwa wingi. Kuwe na NMB, NBC, CRDB wakala ili wa compite haya mitandao ya simu
 
Tigo kwa kweli mnakera sana, nimemtumia mtu laki 2 leo, mimi nimekatwa elfu moja na yeye ili atoe laki 2 kamili imebidi nimuongezee elfu 4500....so nimetuma laki 2 04500....ukijumlisha na ile elfu 1 unapata 5500 ambayo ndyo Total ya makato yenu. Hapana hii si haki mnatuumiza sana wananchi
Mkuu mm juzi nilitoa 370000 wakanikata 6000
 
Hwa bank ndio waanzishe Mawakala mitaani kwa wingi. Kuwe na NMB, NBC, CRDB wakala ili wa compite haya mitandao ya simu
Hii ni idea nzuri, tutawahama hizi kampuni za simu. Nadhan CRDB wana iyo huduma ingawa haijasambaa sana
 
Sielewi serikal kwann inazilea hizi kampuni za simu
Wakizipiga marufuku ujue na JF ndio mwisho. Sema waingilie kati huduma za miamala ya pesa watoe huduma za mawasiliano tu.
 
Tulieni tunampango wakuongeza makato zaidi ya hapo mtazoe tu mlitupenda wenyewe atujawalazimisha mnadhani viwanda tutajenga kwa pesa zipi doz ikiwaingia mnalialia.
 
Wakizipiga marufuku ujue na JF ndio mwisho. Sema waingilie kati huduma za miamala ya pesa watoe huduma za mawasiliano tu.
Waweke kiwango maalum kwa kampuni zote na ambazo si mzigo kwa mwananchi, mbona mwanzo elfu 2500 tulikua hatulalamiki?? Ila si kwa 5500 jamani ni nyingi aisee
 
Mie siku hz ctumii simu kwa mambo ya pesa labda, nikitaka kulipa hata king'amuzi naenda Max malipo. Ukitaka nitumia pesa weka Bank
 
kama unaona ni gali kapange foleni.hii ni biashara huria ndg.kuna watu wapo kw ajili ya kufanikisha hii huduma unafikiri watalipwa je?
 
Back
Top Bottom