Bundle ya Spidi bila kikomo ya wiki imetoka 10GB ikaenda 8GB na sasa nilikiwa nataka kununua nikakuka ni 2GB tu!!! Kwa wiki nzima yaani haileti hata maana 6000 for 2GB bora ununue zile za daily za 900MB kwa buku.Back to Vodacom I go!!
duh, hii mitandao ya simu sasa hivi ni wizi mtupu na wanafanya wanavyotaka, kila kukicha gharama za simu zinazidi kupanda tena wanapandisha kijanja kama hauko makini huwezi kujua, tigo na voda wameshusha dakika za vifurushi tigo kutoka dakika 24 mpaka kumi na tisa na voda hivyo hivyo, hivi TCRA hawaoni au hawasiki
Mi naish sehem mbil tofaut,,,location A:ni nje ya mji kigdo,,, tigo iko vzur cjapat ona ((hap ni both bandl za kawaid & zle shrtcut ze2))hivi kuna watu bado wanatumia Tigo kwa internet na wako Dar na hawapati kero yoyote?
Mm wameniumiza sana hawa jamaa mpaka naogopa hata kununua chao chochote kile
Bundle ya Spidi bila kikomo ya wiki imetoka 10GB ikaenda 8GB na sasa nilikiwa nataka kununua nikakuka ni 2GB tu!!! Kwa wiki nzima yaani haileti hata maana 6000 for 2GB bora ununue zile za daily za 900MB kwa buku.Back to Vodacom I go !
Wahamie airtel, bundle safi kama hizi, speed nzuri.
- OMG ya airtel nadhani ni alternative nzuli
- *148*88#
- Kifurushi cha wiki ni 11GB kwa tsh 6'000 / 6GB kwa tsh 2'500 / 3.5B kwa 1'700
Basi watu wa sales wa Airtel hawajui kabisa biashara! Kuna siku nilienda pale J Mall kwa ajili ya kununua modem ya Airtel... bei yao sh.30K... anyway, sio mbaya! Nilipowaomba wanipe bei ya bundles, nikakimbia maana ni bei a ajabu sijapata kuona!!! Sio siri, ikabidi nisepe bila kusema kwamba kuna offer kama hizi!!!
- OMG ya airtel nadhani ni alternative nzuli
- *148*88#
- Kifurushi cha wiki ni 11GB kwa tsh 6'000 / 6GB kwa tsh 2'500 / 3.5B kwa 1'700
Mnh... speed ipo vipi?UPANDE WA ZANTEL WAMEKUJA NA HII
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]2 GB[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]2000[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]24Hrs[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]20 GB[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]12,000[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]Weekly[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]45 GB[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]25,000[/TD]
[TD="bgcolor: #FFFFFF"]Monthly[/TD]
mnh... Speed ipo vipi?
Bundle ya Spidi bila kikomo ya wiki imetoka 10GB ikaenda 8GB na sasa nilikiwa nataka kununua nikakuka ni 2GB tu!!! Kwa wiki nzima yaani haileti hata maana 6000 for 2GB bora ununue zile za daily za 900MB kwa buku.Back to Vodacom I go !
Bundle ya Spidi bila kikomo ya wiki imetoka 10GB ikaenda 8GB na sasa nilikiwa nataka kununua nikakuka ni 2GB tu!!! Kwa wiki nzima yaani haileti hata maana 6000 for 2GB bora ununue zile za daily za 900MB kwa buku.Back to Vodacom I go !
Hii kitu hata mimi imeshanivutia lakini ni lazima kwanza niwe na external yenye angalau 1TB kwa ajili ya ku-utilize hizo 45GB!Zantel 45GB kwa mwezi for 25000, nawaza nitaimalizaje!