Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Tigopesa haifanyi kazi karibu kutwa nzima ya leo. Mnajua usumbufu na maumivu tuliyopata wateja wenu?
Mnajua Serikali imekosa kiasi gani cha kodi kwa kutwa nzima? Nyinyi binafsi mmepoteza kiasi gani? Kwanini angalau hamkuomba hata radhi?
Kuweni serious hata kidogo.
Mnajua Serikali imekosa kiasi gani cha kodi kwa kutwa nzima? Nyinyi binafsi mmepoteza kiasi gani? Kwanini angalau hamkuomba hata radhi?
Kuweni serious hata kidogo.
