Tigo mmepatwa na nini?

Tigo mmepatwa na nini?

Du mie sijala mpaka muda huu na nimetembea kwa miguu sbb ya huu mtandao wa jaza ujazwe
 
Wamebaki kutusumbua tu na matangazo mengi hapa jamii forum. Ukifungua tu haooo
 
Wamebaki kutusumbua tu na matangazo mengi hapa jamii forum. Ukifungua tu haooo
 
Nimeshindwa kuchek mechi ya yz ma Mauritius sabab cjalipia kifurushi na Salio lilikua kwa Tigo Pesa jaman
 
Kwanini angalau hamkuomba hata radhi?Kuweni serious hata kidogo.

Kutoomba radhi seems ni jadi yetu waTanzania. Kuanzia TANESCO, FastJet, AirTZ, PrecisionAir, ALL Banks you name it. Kwao wao ndo wafalme, mteja can go jump into the sea for all they care.
 
Samahani sana mnara wa kitaifa umefeli ....kweli kuanzia saa 7 mchana mpaka sasa hudumu ya tigopesa hakuna...... Tunaomba ladh,, tatizo linashughulikiwa
 
Back
Top Bottom