displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,091
Juzi wakanipigia simu nikawaambia nimehamia voda nilikuwa mteja wao mzuri saana hasa wa airtime na internet.Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu.
Mungu awalinde

