Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,439
Mazingira nayo ni issue. Kama ni vijijini hakuna 3g wala 4gMkuu kama simu yako ina 4G. nenda kabadili laini iwe ya 4G utakuja kunishkuru. mkuu saiv nachana mawimbi na holotel kama voda tu tena na cheza na online game bila tatizo.