Tigo kwaherini

Tigo kwaherini

Mkuu kama simu yako ina 4G. nenda kabadili laini iwe ya 4G utakuja kunishkuru. mkuu saiv nachana mawimbi na holotel kama voda tu tena na cheza na online game bila tatizo.
Mazingira nayo ni issue. Kama ni vijijini hakuna 3g wala 4g
 
Mnp ni kitu kinawaumiza kichwa sana watu wa mitandao, maana mteja anahama na namba yote bila kupoteza kitu, bahati mbaya watu wengi hawajui hii huduma ndio wanaishia kulalamika tu mara tigo hivi , au voda vile
mkuu fafanua vizuri hii huduma ya mnp.....

mfano, namba yangu 0625887766 ambayo hiyo 0625 ni code ya halotel, sasa nikihamia voda au airtel inaendeleaje kuwa namba yangu wakati huko code zipo tofauti?

msaada tafadhali (eleza kama vile unamfundisha kihiyo')
 
Mkuu namba ni mali yako , unahama nayo yote hupotezi kitu , na hamna mtu atakukosa hata huhitaji kuwaambia kuwa upo mtandao upi
Isipokuwa tu huduma za kifedha ndio itabidi uwaambi mtandao uliohamia ili pesa iende huko ,
Okay nimetoka kusoma google ila hawajasema idadi ya namba unazoweza kupoti,
Maana nna namba Mbili za tiGO
Mbili za Halotel
Moja ya Vodacom
Moja ya TTCL
Moja ya Airtel
 
mkuu fafanua vizuri hii huduma ya mnp.....

mfano, namba yangu 0625887766 ambayo hiyo 0625 ni code ya halotel, sasa nikihamia voda au airtel inaendeleaje kuwa namba yangu wakati huko code zipo tofauti?

msaada tafadhali (eleza kama vile unamfundisha kihiyo')
Mobile number portability (mnp) ni huduma ya kuhama na namba yako yote kwenda mtandao unaoupenda .
Toka mnp ilipoanza 2015 , namba yote ni mali yako mteja na sio mali ya mtandao tena .
Kuwa case yako hiyo namba yako 0625887766 unaenda tigo na wanakusajili kwa namba yako yote , hawatatia tena code yao. Bali utakuwa mteja wait kwa vifurushi vyao na kila kitu. Hii itakufanya uhamie mtandao wowote bila kupoteza namba na wote tukikutafuta tutakupata kwa namba hiyo hiyo , utakachopoteza ni huduma ya halopesa bali utasajiliwa huduma za pesa kwa mtandao uliohamia Kama ulienda voda utatumia codes za mpesa , na kama tigo utatumia codes za tigo pesa.
Namba yako yote kwa sasa ni mali yako sio ya mtandao tena , unahama nayo yote kwenda mtandao wowote .
 
Okay nimetoka kusoma google ila hawajasema idadi ya namba unazoweza kupoti,
Maana nna namba Mbili za tiGO
Mbili za Halotel
Moja ya Vodacom
Moja ya TTCL
Moja ya Airtel
Kuwa huduma ya mnp hunatena haja ya kumiliki laini nyingi , za nini tena ?, Chagua namba yako moia popular then unahama nayo unapoona kuna unafuu
Kwa Tanzania porting inaruhusiwa kila baada ya siku 90, kwa hiyo kama ulihama toka halotel kwenda voda leo , hutaweza kuhama kwenda mtandao mwingine hadi zipite siku 90.
Mind you namba yote ni mali ya mteja siku hizi
 
Kuwa huduma ya mnp hunatena haja ya kumiliki laini nyingi , za nini tena ?, Chagua namba yako moia popular then unahama nayo unapoona kuna unafuu
Kwa Tanzania porting inaruhusiwa kila baada ya siku 90, kwa hiyo kama ulihama toka halotel kwenda voda leo , hutaweza kuhama kwenda mtandao mwingine hadi zipite siku 90.
Mind you namba yote ni mali ya mteja siku hizi
Ooh! Kwa hiyo naweza kusepa na namba yangu ya tiGO nikaipoti Halotel kisha mtu akinipigia kwenye 0714 ananipata kwenye halotel ila kwenye huduma za kifedha ndo nitatumia Halopesa sio tigo pesa,

Kifupi nakua natumia huduma za Halotel kwenye namba yangu ya tiGO sieti eeh?
 
Ooh! Kwa hiyo naweza kusepa na namba yangu ya tiGO nikaipoti Halotel kisha mtu akinipigia kwenye 0714 ananipata kwenye halotel ila kwenye huduma za kifedha ndo nitatumia Halopesa sio tigo pesa,

Kifupi nakua natumia huduma za Halotel kwenye namba yangu ya tiGO sieti eeh?
Hewaaaaa !!!
Umenipata uzuri haswa!!! , na hao halotel wakikuzingua ikipita 90 days , 0714xxxxxx yako unaenda ku port airtel , unahama halopesa to airtel money respectively. Wateja wako wala hawatahisi kitu, sms simu kama kawa
Kiufupi hakuna phrase ," namba ya tigo" au 'voda 'etc .namba siku hizi ni mali yako mteja unaamua uende nayo wapi
 
Serikali na makampuni ya simu wakae meza moja waone namna ya kuwasaidia makampuni haya changamoto zinazowafanya wapandishe kila mara gharama za data, ikiweza itoe ruzuku au ipunguze kodi
Wameshakaa ndio maana gharama zinapanda KILA kukicha.yaani utawala wa huu mzee utatuua.tulizoea gharama kupanda KILA July mosi ila siku hizi wakijisikia kuchukua chao wanachukua na kuwaachia msala wabongo

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Hamia zantel..
GB 1.5,sms500 na dakika 160 mitandao yote kwa 1500 wiki nzima
 
Hewaaaaa !!!
Umenipata uzuri haswa!!! , na hao halotel wakikuzingua ikipita 90 days , 0714xxxxxx yako unaenda ku port airtel , unahama halopesa to airtel money respectively. Wateja wako wala hawatahisi kitu, sms simu kama kawa
Kiufupi hakuna phrase ," namba ya tigo" au 'voda 'etc .namba siku hizi ni mali yako mteja unaamua uende nayo wapi
Shida ya hii ni wale wanaokupigia... Atadhan anapiga kweny Voda Kumbe ni airtel
 
Shida ya hii ni wale wanaokupigia... Atadhan anapiga kweny Voda Kumbe ni airtel
Yah ni kweli, ila we utakuwa umehamia unakokupenda na yeye kama ni mteja hatokukosa akiwa na shida nawe.
My principle ni kuwa naagalia gharama zangu kwanza ,huku nikihakikisha wanaonitafuta hawanikosi hewani wala kuwapa usumbufu wa ku save namba mpya kila siku.
 
Nimeachana na tigo nipo zangu voda, 1500 napata dak 150 na gb 1 kwa wiki
 
Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu.

Mungu awalinde
Njoo nikuunge tgo GB 72 mwaka mzima kwa pesa kidgo tu na pia wale wanaotaka kubadili lain zao za Vodacom kuwa za chuo karibu pia ....zote malipo ni baada ya kazi
 
Hewaaaaa !!!
Umenipata uzuri haswa!!! , na hao halotel wakikuzingua ikipita 90 days , 0714xxxxxx yako unaenda ku port airtel , unahama halopesa to airtel money respectively. Wateja wako wala hawatahisi kitu, sms simu kama kawa
Kiufupi hakuna phrase ," namba ya tigo" au 'voda 'etc .namba siku hizi ni mali yako mteja unaamua uende nayo wapi
Kudadadeki kesho nawaona Halotel chapu nipoti hii namba ya tiGO
 
Back
Top Bottom