Kelevra
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 1,054
- 2,015
Nilichogundua mitandao inategemea sana upo maeneo gani....nilipo mimi airtel nateleza tu kwa kweli.bora ubaki uko kama cm ukipga mnasikiana mana uku airtel unapewa gb 1 na dakika 100 kwa buku ila network utajua ww utaitoa wap mpaka kifurushi kinakata