Tigo kwaherini

Tigo kwaherini

Halotel nasubiri waje wajichanganye..
Screenshot_2021-02-13-20-35-44-044_com.android.phone.jpg
 
Njoo halotel Kama ni kuperuzi tu,ila Kama ni kudownload ,utasubir mpaga ugalegale.mtandao unaenda kutembea ukirudi ,dk haipiti ushasepa tena
 
Njoo halotel Kama ni kuperuzi tu,ila Kama ni kudownload ,utasubir mpaga ugalegale.mtandao unaenda kutembea ukirudi ,dk haipiti ushasepa tena
Hii ndoo changamoto kubwa. basi wanaupuuzi mwingine.. ukituma sms nyingi ndani ya muda mfupi wanakuzuia kutuma kama masaa 2-6 hivi. wakati una kifurushi cha mwezi.
 
Hii ndoo changamoto kubwa. basi wanaupuuzi mwingine.. ukituma sms nyingi ndani ya muda mfupi wanakuzuia kutuma kama masaa 2-6 hivi. wakati una kifurushi cha mwezi.
Hii ndoo changamoto kubwa. basi wanaupuuzi mwingine.. ukituma sms nyingi ndani ya muda mfupi wanakuzuia kutuma kama masaa 2-6 hivi. wakati una kifurushi cha mwezi.
Hii ndoo changamoto kubwa. basi wanaupuuzi mwingine.. ukituma sms nyingi ndani ya muda mfupi wanakuzuia kutuma kama masaa 2-6 hivi. wakati una kifurushi cha mwezi.
 
Halotel washakuw viazi ,yani hadi asubuhi hii mtandao naubembeleza Kama nao umelala,yani Niko serious Hawa jamaa ni konyo
 
Kuna mtandao ulikuwa unaitwa ZANTel bado upo? Labda nijaribu huko!
 
Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu.

Mungu awalinde
Jisearch search utoe chochote mdogo wangu/
Kukamua ndiyo kazi yangu/

By Kali P.....
Wote wezi Airtel vifurushi wamevikata nusu 20000 nilikuwa napata gb22 now ni 11 kwa mwez, 5000 ulikuwa gb 5 kwa week now ni 2.5
 
Halotel washakuw viazi ,yani hadi asubuhi hii mtandao naubembeleza Kama nao umelala,yani Niko serious Hawa jamaa ni konyo
Hawa Mimi nilivunja line nlikuwa najiunga bundle mtandao unashindwa fungus hata page ya if, halafu napokea sms bundle limeisha nikiwapigia wanasema nimelitumia, siku nyingine nimejiunga line nimeiacha kwenye kitoch lakn bado naambiwa bundle limeisha nikaona isiwe tabu nikaivunja.
 
Back
Top Bottom