Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 382
- 506
Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu.
Mungu awalinde
Mungu awalinde