May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,367
- 9,115
Labda uhamie nchi jirani.....mitandao yote ni mwendo wa "ulipo tupo"Kokote alimradi niwahame. Protest ina maana
Labda uhamie nchi jirani.....mitandao yote ni mwendo wa "ulipo tupo"Kokote alimradi niwahame. Protest ina maana
Voda wanafanya divide and rule...kuna wengine Wana offer kifurushi Cha 1000 wanapata gb 1 kwa siku 3, wengine ndio hivyo Kama ww wanapata mb 150...Mimi saivi Nina laini 2. Moja Ina Offa nyingine haina..Voda ndo mijibwa kabisa. Sh 1,000 = mb 150. Si ujambazi huu mchana kweupee
Naona unasusia Mkojo na kujiandaa kwenda kukanyaga Kinyesi sasa Ndugu. Nani aliyekudanganya kuwa huko katika Mitandao mingine kuna Unafuu? Tumeipenda wenyewe na hapo bado.....!!!!Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu.
Mungu awalinde
Mimi mbona tigo hawaja nibania kiviiileView attachment 1700220View attachment 1700221
Hao nao mbona ng'ombe tu

Halotel 1000 tshs 1GB 7 daysKaribu vodacom,
1000Tsh/=1GB-3days 100minutes all networks
Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu.
Mungu awalinde
Nahisi laini zinatofautiana hii mm sina.ipo ya 5000 2gb kwa wiki. Sijui kwakuwa lain yangu ya zamani.una bahati au menu yako iko tofauti na ya wengine?Karibu vodacom,
1000Tsh/=1GB-3days 100minutes all networks
Hio gb moja siku tatu iko maeneo ya Dar labda na pembezoni kama Dar super un kwenye just for you *149*03#Nahisi laini zinatofautiana hii mm sina.ipo ya 5000 2gb kwa wiki. Sijui kwakuwa lain yangu ya zamani.una bahati au menu yako iko tofauti na ya wengine?
Kwa wiki nikijibana natumia 8000 yaan nanunua voda dk 250 all net kwa 3000 nanunua 2gb tigo kwa 5000 kwa ajili ya net tu. Na hii 2gb haifiki wiki dah
Sasa nawaza nikisajili lain nyingine ntaweza beba simu mbili?
Hama hama itakuwaje na kazini maana wateja washazoea hizo no.dah
Ahaaa mm just for you nina mb 30 kwa sh mia mbili kwa siku😂😂😂Hio gb moja siku tatu iko maeneo ya Dar labda na pembezoni kama Dar super un kwenye just for you *149*03#
Ahaaa mm just for you nina mb 30 kwa sh mia mbili kwa siku![]()





Wizi mtupuAirtel gb12 ziliisha kwa siku moja nikahama siku iyoiyo
Hapa hapa Dar kuna wengine wanaofa hiyo wengine hawana...Mimi waliitoa kwenye laini yangu ya kwanza nikajua wote...nilipokuja kujua wengine wanayo nikasajili laini nyingine.Hio gb moja siku tatu iko maeneo ya Dar labda na pembezoni kama Dar super un kwenye just for you *149*03#
HahaHapa hapa Dar kuna wengine wanaofa hiyo wengine hawana...Mimi waliitoa kwenye laini yangu ya kwanza nikajua wote...nilipokuja kujua wengine wanayo nikasajili laini nyingine.
Hiyo ni kwa Kanda ya ziwa offerNahisi laini zinatofautiana hii mm sina.ipo ya 5000 2gb kwa wiki. Sijui kwakuwa lain yangu ya zamani.una bahati au menu yako iko tofauti na ya wengine?
Kwa wiki nikijibana natumia 8000 yaan nanunua voda dk 250 all net kwa 3000 nanunua 2gb tigo kwa 5000 kwa ajili ya net tu. Na hii 2gb haifiki wiki dah
Sasa nawaza nikisajili lain nyingine ntaweza beba simu mbili?
Hama hama itakuwaje na kazini maana wateja washazoea hizo no.dah
Na social je unapataje bei?
embu tuwekee hilo agizo hapa.Serikali inataka hela kinguvu, na wao ndio wameaagiza hizo hela zikusanywe kibabe.