Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Wakuu hivi clouds media waliwakosea nini wananchi?
Leo tarehe 8 decemba ni siku ya tukio kubwa kiburudani hapa nchi ambalo huambatana na shamrashamra kama zote, kwa awamu hii hali ni tofauti kabisa
Hakuna zile pirikapirika kuanzia mitandao mpaka mtaani kote ni kimya, hakuna mtua anyesema kitu kuhusu Fiesta
Licha ya kiingilio cha buku tatu karibu sawa na bure lakini watanzania wamesusa
Ni kosa gani hawa clouds wamelifanya?
Leo tarehe 8 decemba ni siku ya tukio kubwa kiburudani hapa nchi ambalo huambatana na shamrashamra kama zote, kwa awamu hii hali ni tofauti kabisa
Hakuna zile pirikapirika kuanzia mitandao mpaka mtaani kote ni kimya, hakuna mtua anyesema kitu kuhusu Fiesta
Licha ya kiingilio cha buku tatu karibu sawa na bure lakini watanzania wamesusa
Ni kosa gani hawa clouds wamelifanya?