Naandika ujumbe huu wadau kwa masikitiko makubwa sana,ni kwanini mtandao wa simu wa tigo unakua na wizi wa waziwazi hivi?
Leo ni karibu siku ya tatu napokea ujumbe wa ajabu ajabu kutoka namba 15556,na kila wakikutumia wwanakata tsh 500.
Hii huduma mimi sijajiunga na after all mambo wanayotuma ni ya kijinga na kitoto amabayo mimi siyaitaji, mfano leo wamenitumia ujumbe huu na kunikata tsh.500
" Withney death authorities believe huston may have fallen asleep or lapsed into unconsciousness in the bathtub drowened.water has been found in her lungs"
habari hii si kwamaba mimi naifahamu tu na nilishaisoma kwenye mtandao tmz,wamekopy maneno yote msitari baada ya msitari kutoka mtandao huu,na hawakuonesha source kwamba wametoa kwenye mtandao huu.
Pili habari ni yauongo si ya kweli kwani taarifa rasimi juu ya kifo ya whitney hazijatoka na itachukua wiki mbili mpaka tatu.
Hii authority wanaosema imetoa taarifa hii ni ipi na wao wanauhakika nao upi? Na je wana mamlaka ya kisheri ya kusamabaza habari hizi kwamaba ni rasimi whitney kafa kwa kuzama kwenye maji?
Sasa ninafungua kesi kubwa ya madai amabayo itakua mfano katika nchi hii na fundisho kwa haya makapuni ya simu,niko tayari hata kutumia senti yangu ya mwisho kwa hili.
Leo ni karibu siku ya tatu napokea ujumbe wa ajabu ajabu kutoka namba 15556,na kila wakikutumia wwanakata tsh 500.
Hii huduma mimi sijajiunga na after all mambo wanayotuma ni ya kijinga na kitoto amabayo mimi siyaitaji, mfano leo wamenitumia ujumbe huu na kunikata tsh.500
" Withney death authorities believe huston may have fallen asleep or lapsed into unconsciousness in the bathtub drowened.water has been found in her lungs"
habari hii si kwamaba mimi naifahamu tu na nilishaisoma kwenye mtandao tmz,wamekopy maneno yote msitari baada ya msitari kutoka mtandao huu,na hawakuonesha source kwamba wametoa kwenye mtandao huu.
Pili habari ni yauongo si ya kweli kwani taarifa rasimi juu ya kifo ya whitney hazijatoka na itachukua wiki mbili mpaka tatu.
Hii authority wanaosema imetoa taarifa hii ni ipi na wao wanauhakika nao upi? Na je wana mamlaka ya kisheri ya kusamabaza habari hizi kwamaba ni rasimi whitney kafa kwa kuzama kwenye maji?
Sasa ninafungua kesi kubwa ya madai amabayo itakua mfano katika nchi hii na fundisho kwa haya makapuni ya simu,niko tayari hata kutumia senti yangu ya mwisho kwa hili.