Mr Suggestion
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 605
- 308
Kwa kweli tigo ni wizi lakini si kiivyo yaani wakuchague wewe tu ndio, mbona sisi hawatuibii kiivyo, mimi ninavyoona wewe ulikuwa unawaibia zamani so na wao wameamua kukuibia kwa sasa, yaani wewe simu yako imeonekana ipo bize wakati wa usiku tu (muda wa ofa tu) sasa wameona hiyo ndio njia mbadala la kuchukua hela yao, Pole bro mimi niliwapaga kubwa mpaka leo full respect