Sijawahi kupata ghadhabu kama kujadili na kuzipa uhai hoja ambazo siyo issues. Suala la Tido Mhando ni non-issue na yeye Mhando anajaribu kutafuta sympathy ya watu wakati yeye anajua kabisa kwamba mkataba wake ulikuwa for a definate period of time. Alijua kwamba kufika tarehe 15 Desemba anataikwa kuondoka, unless kun express renewal ya mkataba wake au hata express intention ya hiyo renewal. Sasa ni ajabu mtu anayejua kwamba anaondoka anaendelea kubaki akivizia kuona kama ataambiwa baki. Angekabidhi ili hata kama anarejea akabidhiwe na kuendelea. Halafu eti watu wanadai amefanya mengi. Ni sawa lakini ndiyo sababu alitafutwa mtu wa aina yake na kulipwa malipo manono kufanya hicho alichofanya (that is what he was contracted to do and that is what he was paid for).
Tido asijifanye ni indispensable. Halafu tujiulize: Huyu bwana anataka aje apumzike lini baada ya utumishi wa zaidi ya miaka 35? The guy is well in his sixties. Hakuna njama wala zengwe. Kamaliza mkataba aishie zake ili watanzania wengine waendeleze yale aliyoyaanzisha ili akumbukwe na vizazi vijavyo.
Tido asijifanye ni indispensable. Halafu tujiulize: Huyu bwana anataka aje apumzike lini baada ya utumishi wa zaidi ya miaka 35? The guy is well in his sixties. Hakuna njama wala zengwe. Kamaliza mkataba aishie zake ili watanzania wengine waendeleze yale aliyoyaanzisha ili akumbukwe na vizazi vijavyo.