Kinyau
JF-Expert Member
- Nov 24, 2006
- 924
- 735
Namshangaa sana Tido kwa weledi alionao na alivyo mbobezi ktk fani ya habari anashindwaje kujiari akaanzisha shughuli yake inayohusiana na fani yake ili ajiari mwenyewe?
Jiashangae kwanza wewe ambae unadhani kuanzisha kampuni ni lazima uwe na weledi uliotukuka. Pili watanzania tujifunze kuchangia mada on a " positive perspective"
Jiulize kwanza:
1)Je ni kila mwenye weledi lazima aanzishe kampuni yake? Je kutoa expertise kwenye local industry si namna moja ya kutumia weledi wake?
2) Unajuaje kama under the carpet hafanyi other consultancies - au our blinded perception ni hadi tuone mabango?
3) To my understanding , Tido isnt desparate , sasa unamshangaa vipi wakati amefikia umri wa kupumzika --au mkuu una mawazo mtu atakaa kufanya kazi hadi miaka 90?