Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

M

Kwan chumvi za dukan hazifai??
Iodinated salt
Zinafaa ila hazina nguvu kama za mabonge kutokana na kupitia michakato ya viwandani kuanzia kuchimba mpaka kufungashwa
IMG-20190904-WA0319.jpeg
 
Kaka Asante sana kwa Darasa..... Naomba kuuliza,Nikiweka Chumvi kwenye ndoo ya lt 20 usiku kisha nikaoga Maji hayo Asubuhi..... Au ni vema kuweka hapo hapo kisha unaoga......?? Na Inatakiwa nioge kwanza Maji na Sabuni kisha nikitakata nijimwagie Yale ya chumvi...?? Je wakati wa kunuia natakiwa Ninuie wakati nimeshika Chumvi kabla sijaweka kwenye maji au Ninuie wakati shaweka kwenye Maji.....??
 
Kaka Asante sana kwa Darasa..... Naomba kuuliza,Nikiweka Chumvi kwenye ndoo ya lt 20 usiku kisha nikaoga Maji hayo Asubuhi..... Au ni vema kuweka hapo hapo kisha unaoga......?? Na Inatakiwa nioge kwanza Maji na Sabuni kisha nikitakata nijimwagie Yale ya chumvi...?? Je wakati wa kunuia natakiwa Ninuie wakati nimeshika Chumvi kabla sijaweka kwenye maji au Ninuie wakati shaweka kwenye Maji.....??
Nadhani tayari nimeshakujibu kule
 
We mzee samahani, kwa kuoga ni wiki mwezi au zaidi je kama naweka kwenye nyumba ndani au nje na kwenye kiwanja inakuwa vp
Itumie tu kila siku kama unavyotumia sabuni au lotion... Huko kwingine unaweza kumwagia kila baada ya miezi kadhaa
 
Mkuu mshana, ni lazima tuoge kwanzia kichwani??? Na sisi tunaosuka nywele kulowesha kila siku ni mtihani
 
Mkuu mshana, ni lazima tuoge kwanzia kichwani??? Na sisi tunaosuka nywele kulowesha kila siku ni mtihani
Hapana si lazima kwakuwa kwanza kichwani ni sehemu ndogo tu ya mwili
 
Back
Top Bottom