Kkoo soko dogo ni sh 500, ule ujazo nahisi utakuwa ni robo tatu au kilo kamili. Imenifaa sana kaka. Nina mengi mno ya kuandika ila wacha niishie hapaKwenye masoko inapatikana bila shida.. Kilo moja shilingi 2000
Kiganjakwasisi wa Ntuzu umetuchenga kidogo,hivi kiwiko na kitu gani?,ni kijiko au kiganja?,hivi viswahili vya pwani vinatupa tabu sana
Kifuu dume ndiyo kipoje jamani naomba kujuzwa tafadhali. Mshana!Haya yanaweza kuwa mafundisho mabaya View attachment 1186804
Youuu....!!!Uongo mtupu.
Nashukuru sana kwa ufafanuzi mkuuKile chenye kichungi ndio dume.. Kile chenye matundu macho matatu ni jike