Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Kwa sisi mabaharia tunaozama chumvini kuna haja ya kununua ya mabonge?
Naomba unijibu kwa niaba ya wazamiaji!!
 
Kwa sisi mabaharia tunaozama chumvini kuna haja ya kununua ya mabonge?
Naomba unijibu kwa niaba ya wazamiaji!!
Kama ni mabaharia halisi hakuna haja.... Ila kama ni hawa mabaharia kama komba mwiko.... Wazee wa ugiligili hawana jinsi kuitumia lazima
 
Asante kwa elimu nzuri kwakweli imenisaidia mahali nilipokuwa nimepanga kila ikifika jioni kuna sauti za waduuu walikuwa wakiliia kwenye dirisha kila siku tena wanatoa sauti za kusumbua hata kulala huwezi unaamka na kuhangaika kulikagua dirisha lakini simwoni huyo mdudu nikakumbuka mada ya mshana kuhusu tiba ya chumvi nikaamka na kunyunyuzia nyumba nzima na kwenye lile dirisha kwa muda wa wiki moja toka siku hiyo hadi leo sijasikia tena sauti ya yule mdudu.

Asante mshana mada yako imenisaidia ubarikiwe
 
Asante kwa elimu nzuri kwakweli imenisaidia mahali nilipokuwa nimepanga kila ikifika jioni kuna sauti za waduuu walikuwa wakiliia kwenye dirisha kila siku tena wanatoa sauti za kusumbua hata kulala huwezi unaamka na kuhangaika kulikagua dirisha lakini simwoni huyo mdudu nikakumbuka mada ya mshana kuhusu tiba ya chumvi nikaamka na kunyunyuzia nyumba nzima na kwenye lile dirisha kwa muda wa wiki moja toka siku hiyo hadi leo sijasikia tena sauti ya yule mdudu.

Asante mshana mada yako imenisaidia ubarikiwe
 
Back
Top Bottom