Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,026
Wakuu Salaam.
Hongereni kwa shughuli mbalimbali za ujenzi wa maisha binafsi na taifa kwa ujumla.
Naomba msaada wa mawazo. Ninafuga kuku wa mayai ya kisasa na machotara. Sasa for the past two weeks wamekuwa katika tiba, baada ya kuanza kuharisha choo cheupe tulishauriwa na kuwapatia ENROVETo-20. Walipomaliza tukanotice wana choo cha brown, kwa kuwa wote wanataga tukashauriwa kutumia AMPRLIUM 20%.
Sasa kitu ambacho kimejitokeza na kina nipa wasiwasi ni kuwa leo kuku 2 wamekufa na ulaji wao si ule wa kawaida mfano kuku chotara kilo 10 walikuwa wanamaliza for less than 30minutes lakini sasa hata 4 hours chakula unakikuta.
Naomba ushauri hatua zipi nichukue ili kurescue hii situation isizidi kuwa mbaya.
Asanteni sana kwa mawazo yenu.
Hongereni kwa shughuli mbalimbali za ujenzi wa maisha binafsi na taifa kwa ujumla.
Naomba msaada wa mawazo. Ninafuga kuku wa mayai ya kisasa na machotara. Sasa for the past two weeks wamekuwa katika tiba, baada ya kuanza kuharisha choo cheupe tulishauriwa na kuwapatia ENROVETo-20. Walipomaliza tukanotice wana choo cha brown, kwa kuwa wote wanataga tukashauriwa kutumia AMPRLIUM 20%.
Sasa kitu ambacho kimejitokeza na kina nipa wasiwasi ni kuwa leo kuku 2 wamekufa na ulaji wao si ule wa kawaida mfano kuku chotara kilo 10 walikuwa wanamaliza for less than 30minutes lakini sasa hata 4 hours chakula unakikuta.
Naomba ushauri hatua zipi nichukue ili kurescue hii situation isizidi kuwa mbaya.
Asanteni sana kwa mawazo yenu.