Threads nyingi MMU ni za kutunga, tujirekebishe

mdesi

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
1,349
2,086
Habari wanajamii,

Mimi ni msomaji sana wa post humu ndani, niseme ukweli nimejifunza vingi sana. Ila nimesikitishwa na hii tabia ya kupost stori za kutunga afu unaweka as if ni ukweli lakini ukisoma unakuta ni wazi vitu havina ukweli.

Mfano mtu alichangia uzi fulani amesema, "Mke alikuwa hataki kuzaa na mumewe akafunga kizazi baadae akaachana na huyo mume akaenda kwa mwingine akamzalia watoto km kawa".

Uzi mwingine ni huu wa "Jinsi nilivyo furahi mke alivyoachishwa kazi". Ameandika kuwa mke alipata kazi kampuni ya simu akawa anapata 3mil then kampuni ikauzwa akapoteza kazi, lakini kiuhalisia hakuna kampuni ya simu iliyouzwa hapa karibuni.

Stori km hizi ni vizuri ukaandika kuwa ni hadithi watu tujue kuwa si kitu cha uhalisia.
 
Inasikitisha kwa kweli....watu tunakuja mbio kuja kutoa ushauri kwa ajili ya kuwasaidia vijana wetu katika masuala mbali mbali kumbe wao wanatuchora tu na kutuona makatuni....

Kwa kweli hali hii inavunja moyo kama sio kukatishana tamaa.....Watoto waliovamia humu ndani siku za hizi karibuni ndio wanaoendeleza ujinga huu..... Wanajua huku kuna watoto wenzao...

Usipokuwa makini unaweza ukajikuta unamshauri kijana jinsi ya kumgegeda binti yako..... Unamfundisha mwanao wa kumzaa jinsi ya kugegeda...
 
Inasikitisha kwa kweli....watu tunakuja mbio kuja kutoa ushauri kwa ajili ya kuwasaidia vijana wetu katika masuala mbali mbali kumbe wao wanatuchora tu na kutuona makatuni......
Kwa kweli hali hii inavunja moyo kama sio kukatishana tamaa........
Watoto waliovamia humu ndani siku za hizi karibuni ndio wanaoendeleza ujinga huu.....wanajua huku kuna watoto wenzao.......

Usipokuwa makini unaweza ukajikuta unamshauri kijana jinsi ya kumgegeda binti yako.....unamfundisha mwanao wa kumzaa jinsi ya kugegeda............
Ha nimecheka hakuna mfano
 
"like" za jf zina umuhimu katika maisha ya watu hivyo hii ni njia moja wapo ya kuzipata

Wengine tuna tafuta attention tu

Wengine hatuna mchango kwenye jamii, mtandao (eg. JF) unatupa sehemu muhimu (na pengine pekee) ya kujumuika.

Tuvumiliane
 
ili mradi ujumbe ufike na ueleweke
iwe ni funzo , onyo , kuelimisha, au kuchekesha itasaidia wengine
 
Inasikitisha kwa kweli....watu tunakuja mbio kuja kutoa ushauri kwa ajili ya kuwasaidia vijana wetu katika masuala mbali mbali kumbe wao wanatuchora tu na kutuona makatuni......
Kwa kweli hali hii inavunja moyo kama sio kukatishana tamaa........
Watoto waliovamia humu ndani siku za hizi karibuni ndio wanaoendeleza ujinga huu.....wanajua huku kuna watoto wenzao.......

Usipokuwa makini unaweza ukajikuta unamshauri kijana jinsi ya kumgegeda binti yako.....unamfundisha mwanao wa kumzaa jinsi ya kugegeda............
mkuu umetoa mbavu zangu
 
Back
Top Bottom