nyani babu, hivi hambakizagi hata kidogo akili za kuongozea familia,au bado unaishi gheto huko USA, tulete thread zenye mashiko kwa taifa na maisha yetu ya kila siku
hongereni kwa kufanana akili, ila wewe zero zaidi maana mwenzako kakuwahi,tujitahidi kutuma thread zenye mashiko kwa taifa na maisha yetu kwa ujumla ingawa utani umo
nyani babu, hivi hambakizagi hata kidogo akili za kuongozea familia,au bado unaishi gheto huko USA, tulete thread zenye mashiko kwa taifa na maisha yetu ya kila siku
nyani babu, hivi hambakizagi hata kidogo akili za kuongozea familia,au bado unaishi gheto huko USA, tulete thread zenye mashiko kwa taifa na maisha yetu ya kila siku
hasa thread za jukwaa la mahusiano kuna thread za ajabu ajabu mno huwezi jua nani mkubwa nani mdogo,ubaya zinaleta attention kwenye new posts ukijaribu kufungua unaambulia kuboreka,mods watakusikia
nyani babu, hivi hambakizagi hata kidogo akili za kuongozea familia,au bado unaishi gheto huko USA, tulete thread zenye mashiko kwa taifa na maisha yetu ya kila siku
ulitaka watoke.na.mkeo inayokubore unakaa kimya mpaka anarudi jehova nikusaidie na exp humu cha.kusoma akiliza watu sana nini cha kufanya ukisoma hdn inakubore acha ukiisoma ndan mns umeipenda mpwa lakohilo
ulitaka watoke.na.mkeo inayokubore unakaa kimya mpaka anarudi jehova nikusaidie na exp humu cha.kusoma akiliza watu sana nini cha kufanya ukisoma hdn inakubore acha ukiisoma ndan mns umeipenda mpwa lakohilo
muhurumie huyo,sijui tatizo ni nini kwa watu kama huyu kuleta thread zisizo na mashiko wala tija kwa taifa na maisha yetu ya kila siku, uzi huu unawakumbusha kuwa uhuru wa kutoa maoni unaenda pamoja na staha