This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Kwakweli ingawa umeweka angalizo tusihoji mahali alipookotwa, inatuwia vigumu.
Zamani watu walipewa uongozi baada ya kupitia maadili waliyonayo.
RC ni mtu mkubwa, anayekalia kiti hicho ni lazima awe mtu mwenye weledi, anayejua maana ya Katiba na miongozo yake.
Kuwa na mtu wa aina hiyo ni hatari kwa mkoa na nchi
 
Mbona unamuondoa Magufuri kwenye hili yeye si ndio mwanzilishi wa kauli za kibabe? Watendaji wake nao wanatamka kulingana na bosi wao anavyotaka acha uwoga Pascal
 
Mkuu Pascal Mayalla huyu Mtu hajaanza leo na kauli zake za ajabu ajabu..

Mimi wanaonishangaza ni hao Wanaccm wanaomshangilia kwa vigelegele.

Mwenyekiti wao alishawahi kutoa kauli "Wafungwa wafanyishwe kazi ikibidi wapigwe na Mateke "

Huyu anaendeleza tu.
Sawasawa kabisa! Kinachotisha na kusikitisha ni kitendo cha watu kushangilia, inaleta maana kuwa hawahitaji utawala wa sheria au wanapenda sheria mbovu. Na kama hao ndiyo 'wanaakisi' jamii ya watanzania basi ina maana miaka yote hii tangu uhuru ustaarabu tuliofundishwa, elimu tuliyopewa, na hata taasisi zilizowekwa zimekuwa ni kutwanga maji kwenye kinu.
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P
Kwanini umeanza kuweka barrier kwenye mamlaka ya uteuzi kuwa isiguswe! ikiwa hiyo mamlaka haihusiki na ufashist wa RC wake mbona mpaka leo yuko mamlakani
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia wgatu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P

Ukisema ni sadist una dilute. Huyu ni babarian kabisa. Yuko uncivilised na ni primitive
 
Ni kweli zile mamlaka za kuwafanyia vetting hazipo tena kabla ya kupewa madaraka/uongozi.
Duu..watendaji wa awamu hii,si mchezo! Kila mmoja anajaribu kumu impress Mheshimiwa Rais bila kujali namna ya kufikisha ujumbe. Sina hakika kama kuna chombo cha kuwachuja hawa mabwana kabla hawajapewa majukumu wanayopewa.Kwanini wasipelekwe Simiyu kwa Anthony Mtaka akawape somo la maadili ya uongozi?
 
Tuache unafiki!

Mkulu mwenyewe aliwahi toa kauli/agizo gani kwa Polisi?

Je,si Mkulu aliagiza majambazi watangulizwe?

Pascal Mayalla haya ni maokeo ya mtu ambae nyie mko humu kutwa kumtetea hivyo kubalini bwana yule na watu wake wote hawafai vinginevyo kaeni kimya.
K
Pascal, my friend, LIKE FATHER LIKE SON! Ile kauli ya "mnajua msaliti huwa anafanywa nini" ya baba yao ina madhara makubwa! Kupotea kwa akina Ben, Azory, sandarusi za maiti ufukweni bila kuchunguzwa na sababu za ajabu ajabu zlizotolewa na polisi wakati ule, they sent a go-ahead msg to those pretending to be "loyal" to the father! and hence such matamshi! Wanasema maovu na kutenda hawakemewi/kuadhibiwa, wonderful enough kinachofuata ni kupandishwa vyeo, what do you expect from others! UKWELI UNAUJUA WA CHANZO CHA MAOVU HAYA!
Katika vitu ambavyo tunatakiwa tumpongeza Jiwe ni kuteuawa baadhi ya wakuu wa Mikoa na wilaya anaofanana nao ki maneno na vitendo, Ali Hapi, Makonda, Mnyeti, Muro, Gambo, Sabaya, Komanya kutaja kwa uchache.
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P

Mkuu huyu ni mteule wa mkuu wa kaya. Bila shaka ana kibali cha aliyemteua.
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P

Hii ni hatari sana,kuna haja ya rais wetu kujitofautisha na wateule kama hawa hapa nategemea atamtafutia kazi nyingine,busara hakuna haelewi kitu kuhusu uongozi sheria au mikataba ya kimataifa,wao wanafikiri hayo mambo yanaishia hapo yanaenda mbali sana,
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P

Ngosha ndo anawapenda wateule wa namna iyo, uyo ndo kipenzi chake
 
Back
Top Bottom