Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Bwana yule alikuwa akiwapenda "watu kama yeye!!"Mkuu Pascal Mayalla huyu Mtu hajaanza leo na kauli zake za ajabu ajabu..
Mimi wanaonishangaza ni hao Wanaccm wanaomshangilia kwa vigelegele.
Mwenyekiti wao alishawahi kutoa kauli "Wafungwa wafanyishwe kazi ikibidi wapigwe na Mateke "
Huyu anaendeleza tu.