This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Kuna mtu kawafanya hivyo!!

We Bwana. Unapoteza hadhi yako kama kweli ulishawahi kuwa nayo. Nobody anaweza kukufanya hivyo kama hukuwa hivyo ulivyo. Kumbuka watu kama Makonda waliteuliwa na Kikwete. Na hawachomolewi tu kunakuwa na kuangaliwa kwanza. Mwanadamu sio Computer kusema utajua kila kitu chake na intentions zake. Kuna Hawaongei lakini ndo hatari zaidi. Na pengine anaongea lugha ambayo wote tunaongea sema kama kiongozi lazima ajue Ana madaraka na hayo madaraka ni dhamana tu. Lazima kupima anachofanya na kuongea. Impact yake ni kubwa sana. Wewe unajificha humu ndo mana watu hakuhukumu sana.
 
Yataandikwa sana na kusemwa sana na wana wema, lakini kiburi cha mamlaka kinazidi kujidhihirisha. Inabidi kujitafakari ni nini kifanyeke kama taifa kabla mambo kwenda mrama? Anayepigwa hatakubali kupigwa milele na hapo ndipo inakuwa kila mtu na lwake.
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P
Huamini nini wakati anamgeza baba yake Magufuli kipenzi chako?
 
Wanabodi,
Siamini ninachokisikia hapa kwa kiongozi huyu!.



Japo wote tunamasikio inawezekana sio wote tunaweza kusikiliza kitu tukasikia, hivyo kwa faida ya wengine naomba kusema kwa kifupi tuu mimi nilichosikia na kilicho nifanya nipandishe bandiko hili.

Kiongozi huyu anasema kibaka akiingia kwako hata kama ni kuiba chumvi, anakuwa ameomba mambo matatu.
1. Ameamua kuiba
2. Ameamua kuua
3. Ameamua kuuwawa

Amewaambia polisi wa mkoa wake kuwa kufuatia magereza kufurika, wayajibu maombi ya vibaka wote mkoani kwake kwa kuwapatia ombi lao la tatu yaani wauwawe!.

Kubwa kuliko ni akajitolea mfano yeye mwenyewe jinsi alivyomuua kibaka aliyevamia nyumbani kwake kwa kumpiga risasi mbili na kufa papo hapo, na yeye ili kukamilisha furaha yake kwa kufungua bia moja kunywa kwa kujipongeza!.

Kwa watu wanaojua kitu kinachoitwa psychoanalysis ya binaadamu, unaweza kumbaini a person of unsound mind kwa jinsi anavyoongea.

Kwa jinsi mtu huyu alivyoongelea hili tukio la kumuua kibaka na Kusherehekea kwa kunywa bia, I seriously doubt the soundness of his mind, this is a sadist!.

Naombeni sana msi question mamlaka yake ya uteuzi huwa inawaokota wapi watu kama hawa, kwa sababu huwa hakuna kipimo cha soundness of state of mind kabla ya uteuzi hi nina amini kabisa alipoteuliwa, mteua hakujua state of mind ya mteuliwa huyu!.

Kwa vile state of mind is not static, ni dynamic, inawezekana kabisa wakati anateuliwa he was OK, akaja kubadilika mbele ya safari, kama hata baada ya kuyasema haya ataachwa aendelee, huu utakuwa ndio uthibitisho kuwa hali hii inafahamika vyema, hivyo mwacheni apige kazi.

Kitu nitakachowaomba wana jf wenzangu mfuatilie, ni kitu kinachoitwa Karma kinavyoshughulikia watu kama hawa, hivyo bandiko hili liwekeni pending kwenye kumbukumbu zenu, ili siku karma itakapo anza ku hit back, tutakumbushana.

P
Hizo ndiyo sifa anazozitaka mteuzi.
 
Jaman tuache matani, umefika Sasa wakati wa kila mtanzania kupiga goti na kumwomba Mungu kuhusu hatma ya Tanzania. Tumuombe Mungu awape viongozi wetu hekima, na moyo wa uwajibikaji. Tumuombe atusaidie kulinda amani na mshkamano wetu wa kitaifa. Tutubu kwaajili ya mioyo ya viongozi iliyojaa chuki, visasi, jeuri na kiburi Cha uzima.
Mkuu,nafikiri ni wakati sasa wa kuchukua hatua sisi kawa Watanzania na waathirika wa viongozi wabovu. Haiwezekani hawa viongozi kila kukicha hawajirudi zaidi ya kuzidisha uhuni,hapo maombi yamegonga mwamba,tuchukue hatua zingine zifaazo.
 
Mwizi kuiba nae kuuwawa haki zabinaadamu hutetea sana
Mtu kuibiwa mali yake halali haki mungu utaiona kwa adhabu ya mwizi moja ikiwa ni kuuwawa.....
Lengo La kuzuia watu kuuwa lilikuwa kupunguza kuuwawa Kwa wasio na hatia,tumeshuhudiwa waliouwa hali si vibaka wala wezi wapo waliokuwa wakifanya jogging alfajiri wakaunganishwa wakauwa,wapo waliofumania wapenzi wao vyuoni,majumbani kujihami wakaitiwa mwizi na wapenzi wao wakauwawa ,wapi waliokwenda fatilia madeni yao wakaitwa mwizi wakauwawa.Hivi huyu Mzee wa kuhonga michepuko naye ni kiongozi kweli?. Nchi za nje wenzetu wanatuona vipi INA maana tumekosa watu wa maana hadi tunaokota watu wasiofaa.Uwezo wa kufikiri wa mtu upimwa kwa kimtokacho mtu.Mtu aliyeelimika hawezi sema maneno hayo na dunia ikisikia.Ila nyoka huzaa nyoka yalianzia Kwa baba yao.
 
Pale siasa inapotaka KUFUNIKA UHALISIA. Kwa maoni yangu Mwizi Dawa yake ni Kuua. Kama umewahi ibiwa na huna SIASA UCHWARA huwezi anzisha uzi kudaubt hoja za Chalamila. Naunga mkono Hoja ya Chalamila. Najua wanasiasa uchwara watakuja na hoja za kazi ya polisi mara mahakama oooh haki za binadamu nk.Ibiwa kwanza uone kama utaleta SIASA UCHWARA hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mwizi dawa yake kuuwawa. Fine, sasa tumsake mwizi wa fedha za ujenzi wa kivuko chetu Bill 8 auwawe! Wanaokwiba kwenye kusaini mikataba feki wauwawe? Wezi wa kura tuwauwe kwa mishale au mawe? Nyie ni wajinga wajinga wajinga! Mnashutumu wezi kwa vile wizi wao ni wa kuku wa mboga lakini wizi wenu wa mabilioni mnauhalalisha na kuufanya sio wizi bali kusogeza? Pumbaf kabisa wauaji wakubwa msio busara hata kidogo ndio maana mnaiba hata fedha zilizopangwa kumlipa mliyemnyang'anya mashamba yake hadi anakamata ndege ambayo ndio nyodo yenu namba 1
 
Back
Top Bottom