This is too much

Well said mkuu, jamaa ana lugha chafu balaa, hata anaowatukana hawajui
 
ipake rangi basi. acha kimbe wewe kwani hawa wanaonitukana humu wananijua wabongo unafiki tu umewajaa
 
Kama ulikua unataka kumsaidia si ungetangaza hiyo nafasi ya kazi umeanza kwa matani wakati mtu anawakilisha watu wengi wasiokua na kazi
Pole sana una shida alafu unamtukana mtu hata humjui kisa tuu hasira zako za maisha...
Any way nimekusamehe ila kwa kuwa ushanitukana fala asnte nashukuru acha nikae na ufala wangu endekea kusota na mi bahasha yako ya A4.
 
sitaki maisha ya nauli mzee..siwezi kuwa mtumwa zama hizi nataka kazi ya kufanya na nilipwe mshahara boss wangu
Changamoto pia inaweza kuwa kwenye fani uliyosoma,kuna baadhi ya fani zinakufanya wewe utafutwe na kuna fani zinakufanya wewe utafute...kama ulisoma fani za wewe kutafutwa utapata ajira haraka sana na zinazolipa vizuri.
 
Ungeeleza basi na elimu yako,sasa utapewaje kazi bila kujua hata umesomea nini?
 
Sio kosa lake
 
Changamoto pia inaweza kuwa kwenye fani uliyosoma,kuna baadhi ya fani zinakufanya wewe utafutwe na kuna fani zinakufanya wewe utafute...kama ulisoma fani za wewe kutafutwa utapata ajira haraka sana na zinazolipa vizuri.
 
Ungeeleza basi na elimu yako,sasa utapewaje kazi bila kujua hata umesomea nini?
toa kazi kazi kama zipo..kama siyo yangu raia kibao wanasaka utakua umerusaidia sana natanguliza shukrani
 
Kama ulikua unataka kumsaidia si ungetangaza hiyo nafasi ya kazi umeanza kwa matani wakati mtu anawakilisha watu wengi wasiokua na kazi
eti buana..wengine mapimbi kama ni kazi hainihusu wengi tu wanataka michongo sijui yatabadilika lini haya manyumbu wengine wanaamini eti ukinyenyekea labda ndo utakua upo serios sinyenyekei pimbi toa kazi kiroho na Mungu wako atakujalia heri
 
Yah
eti buana..wengine mapimbi kama ni kazi hainihusu wengi tu wanataka michongo sijui yatabadilika lini haya manyumbu wengine wanaamini eti ukinyenyekea labda ndo utakua upo serios sinyenyekei pimbi toa kazi kiroho na Mungu wako atakujalia heri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…