Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,665
- 3,048
Upo sawa, kwa wenzetu ukitaka ku-register kampuni lazima utaje passport number au identity card yako na uthibitishe directors/ shareholders wanaishi na wamefikia umri wa utu uzima. Hapa kwetu unaweza wewe uaaandika chochote na kutoa pesa na ku-register. Hilo tu la majina fake (kama kweli ni feki) basi Rostam yupo guilty tayari!!IO,
Ukitumia akili yako tu ya kawaida kufanya analysis ya mambo utagundua kuwa hapa kuna undanganyifu wa wazi. Siju kama inaingia akili kweli haya majina (Rostom A. Sakarri, Rostam Sakarri, Rustom Aziz Sakarri, Rustam Sakarri na Rustam Sakaari) yakafanana kwa kubadili au kuhamisha herufi kutoka jina moja kwenda jina lingine kwa kiasi hicho. Kwa hakika RA ni balaa. Atalifilisi hili taifa kama hatashughulikiwa. Anapojitetea kuwa yeye ni mzalendo lakini kwa matendo yake haya anakana na kusema yeye yupo hapa TZ kuchuma na kudhoofisha uchumi wa Tanzania na kama inavyojulikana yeye ana uraia wa nchi tatu (TZ, Iran na Canada) kwahiyo yuko mguu pande. Ooooooh GOD forbid.