Thinking beyond measures: CCM ni 'mafundi' wa kutengeneza 'matukio' na 'Wapinzani feki'

Mwenyezi Mungu amenijalia akili ya kufikiri. Naitumia kufikiri vyema kuhusu 'saga' inayoendelea ndani ya CCM. Nimeamua kufikiri vingine tofauti na kuona kuna mtifuano ndani ya CCM na hivyo tuendelee kukaa mkao wa kula kuona mwisho wake. CCM ni mafundi na mabingwa wa kutengeneza matukio na wapinzani feki.

Wenye kuangalia vyema, kwa undani na kwa umakini watakubaliana nami kuwa CCM huanzisha songombingo kama lililopo sasa kila unapokaribia uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani. Anzia mwaka 1995 (Mzee Mrema alipohama CCM na kugombea Urais kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi).....kumbuka 2000 (Prof. Lipumba 'alipotikisa' ).....fuatia 2010 (Dr. Slaa alipomkosesha usingizi Mzee Kikwete) na tena usisahau 2015(Lowassa alipohamia CHADEMA na kuwa mgombea wao)

Fikirini tena na kwa umakini. Matukio yanayoendelea ndani ya CCM si ya bahati mbaya. Ni matukio yanayoratibiwa kwa umakini mkubwa na yenye tija kwa chama hicho. Wakati umma na upinzani ukijihusisha na matukio hayo, CCM huitumia nafasi hiyo kujipanga na kufanya mambo yao bila ya kujadiliwa. Mwisho wa matukio haya huwa na zao la 'wapinzani feki' watakaomwagwa kuelekea upinzani kuteka Majimbo na Kata. Na hata kuwa wagombea wa Urais.

Hakika, CCM ni very intelligent and genius katika kutengeneza matukio na wapinzani feki. Hupoteza maboya sana katika kukaribia uchaguzi mkuu. Kwa hilo wanahitaji pongezi!

Waione: Kiranga , tindo , BAK , Evarist Chahali , Daudi Mchambuzi, manengelo , Pascal Mayalla, hearly na wengineo
Well said, my learned brother
 
mkuu nadhani unafananisha unafiki PhD na intelligence.

mwanaccm anapotoka ccm huwa anatafuta cheo ambacho amejiridhisha hawezi kukipata kupitia ccm kwa wakati huo. anapoona mission imefeli kupitia upinzani, anarudi ccm alikotoka maana nje ya ccm tens bila cheo huo msuri wanao wachache kuvumilia. bora warudi hata kinafiki
 
Yaani wewe ni miongoni mwa watu wachache hapa nchini wenye macho ya kuona mbali.
Furaha ya vyama vya upinzani nchini ni kuona mmomonyoko kwenye chama tawala na bahati mbaya iliyopo kwetu sisi watanzania ni wepesi sana KUSAHAU (sisi hatutunzi kumbukumbu). 2015 sakata la Lowasa na CCM lilileta taharuki nchini hadi EL anaenda upinzani na kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya wapinzani.
Tumesahau figisu alizopata WS na kuondoka CHADEMA na hatimaye EL anakuja kuonekana ni tegemeo la mwisho kwa wapinzani na akapewa majukumu ya kuwapeleka kunako nchi ya ahadi.
Kwanini tu wepesi kusahau hivi? Kwanini kila leo tumekuwa watu wa kufurahia mtikisiko wa CCM badala ya watu kukaa na kutengeneza upinzani imara usiotegemea ugomvi wa CCM. Mwenyekiti wa CHADEMA na viongozi wakuu wa chama hicho wala hawana nia ya kutwaa dola hapa nchini na mkitaka kuamini angalieni mwenendo wao chamani, haitakuja kutokea siku CCM ikatoka madarakani kama ambavyo wengi mnaamini endapo bado mtakuwa wazito katika kutunza kumbukumbu.
Sijawahi kuona chama cha upinzani nchini chenye nia ya kuchukua dola....
Nashukuru Mungu nimeanza kuona wapo watu kama nyie. Ule uchaguzi wa 2015 ulinipa funzo na nawashangaa mno wanaoanza tena kushabikia akina Membe!
 
If you continue thinking beyond measures, your thinking is absolutely limeted, is better you think without measures its when you can come up with unlimited solutions.
Mwenyezi Mungu amenijalia akili ya kufikiri. Naitumia kufikiri vyema kuhusu 'saga' inayoendelea ndani ya CCM. Nimeamua kufikiri vingine tofauti na kuona kuna mtifuano ndani ya CCM na hivyo tuendelee kukaa mkao wa kula kuona mwisho wake. CCM ni mafundi na mabingwa wa kutengeneza matukio na wapinzani feki.

Wenye kuangalia vyema, kwa undani na kwa umakini watakubaliana nami kuwa CCM huanzisha songombingo kama lililopo sasa kila unapokaribia uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani. Anzia mwaka 1995 (Mzee Mrema alipohama CCM na kugombea Urais kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi).....kumbuka 2000 (Prof. Lipumba 'alipotikisa' ).....fuatia 2010 (Dr. Slaa alipomkosesha usingizi Mzee Kikwete) na tena usisahau 2015(Lowassa alipohamia CHADEMA na kuwa mgombea wao)

Fikirini tena na kwa umakini. Matukio yanayoendelea ndani ya CCM si ya bahati mbaya. Ni matukio yanayoratibiwa kwa umakini mkubwa na yenye tija kwa chama hicho. Wakati umma na upinzani ukijihusisha na matukio hayo, CCM huitumia nafasi hiyo kujipanga na kufanya mambo yao bila ya kujadiliwa. Mwisho wa matukio haya huwa na zao la 'wapinzani feki' watakaomwagwa kuelekea upinzani kuteka Majimbo na Kata. Na hata kuwa wagombea wa Urais.

Hakika, CCM ni very intelligent and genius katika kutengeneza matukio na wapinzani feki. Hupoteza maboya sana katika kukaribia uchaguzi mkuu. Kwa hilo wanahitaji pongezi!

Waione: Kiranga , tindo , BAK , Evarist Chahali , Daudi Mchambuzi, manengelo , Pascal Mayalla, hearly na wengineo
 
You can only destroy but you can't change the nature.... Nilipoona tu CHADEMA wanampamba membe na kumsahau Tundu lissu, nilijua tu bado wana safari ndefu kuelekea kuchukua madaraka.
 
Mwenyezi Mungu amenijalia akili ya kufikiri. Naitumia kufikiri vyema kuhusu 'saga' inayoendelea ndani ya CCM. Nimeamua kufikiri vingine tofauti na kuona kuna mtifuano ndani ya CCM na hivyo tuendelee kukaa mkao wa kula kuona mwisho wake. CCM ni mafundi na mabingwa wa kutengeneza matukio na wapinzani feki.

Wenye kuangalia vyema, kwa undani na kwa umakini watakubaliana nami kuwa CCM huanzisha songombingo kama lililopo sasa kila unapokaribia uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani. Anzia mwaka 1995 (Mzee Mrema alipohama CCM na kugombea Urais kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi).....kumbuka 2000 (Prof. Lipumba 'alipotikisa' ).....fuatia 2010 (Dr. Slaa alipomkosesha usingizi Mzee Kikwete) na tena usisahau 2015(Lowassa alipohamia CHADEMA na kuwa mgombea wao)

Fikirini tena na kwa umakini. Matukio yanayoendelea ndani ya CCM si ya bahati mbaya. Ni matukio yanayoratibiwa kwa umakini mkubwa na yenye tija kwa chama hicho. Wakati umma na upinzani ukijihusisha na matukio hayo, CCM huitumia nafasi hiyo kujipanga na kufanya mambo yao bila ya kujadiliwa. Mwisho wa matukio haya huwa na zao la 'wapinzani feki' watakaomwagwa kuelekea upinzani kuteka Majimbo na Kata. Na hata kuwa wagombea wa Urais.

Hakika, CCM ni very intelligent and genius katika kutengeneza matukio na wapinzani feki. Hupoteza maboya sana katika kukaribia uchaguzi mkuu. Kwa hilo wanahitaji pongezi!

Waione: Kiranga , tindo , BAK , Evarist Chahali , Daudi Mchambuzi, manengelo , Pascal Mayalla, hearly na wengineo

Hawana ufundi wowote unaotaka kuwapa, nyingi ya hizo hali ni coincidence tu.
 
Yaani wewe ni miongoni mwa watu wachache hapa nchini wenye macho ya kuona mbali.
Furaha ya vyama vya upinzani nchini ni kuona mmomonyoko kwenye chama tawala na bahati mbaya iliyopo kwetu sisi watanzania ni wepesi sana KUSAHAU (sisi hatutunzi kumbukumbu). 2015 sakata la Lowasa na CCM lilileta taharuki nchini hadi EL anaenda upinzani na kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya wapinzani.
Tumesahau figisu alizopata WS na kuondoka CHADEMA na hatimaye EL anakuja kuonekana ni tegemeo la mwisho kwa wapinzani na akapewa majukumu ya kuwapeleka kunako nchi ya ahadi.
Kwanini tu wepesi kusahau hivi? Kwanini kila leo tumekuwa watu wa kufurahia mtikisiko wa CCM badala ya watu kukaa na kutengeneza upinzani imara usiotegemea ugomvi wa CCM. Mwenyekiti wa CHADEMA na viongozi wakuu wa chama hicho wala hawana nia ya kutwaa dola hapa nchini na mkitaka kuamini angalieni mwenendo wao chamani, haitakuja kutokea siku CCM ikatoka madarakani kama ambavyo wengi mnaamini endapo bado mtakuwa wazito katika kutunza kumbukumbu.
Sijawahi kuona chama cha upinzani nchini chenye nia ya kuchukua dola....
Tatizo jingine linaanzia kwenye dhana hii inayoonekana hapa mwishoni mwa maelezo yako, kwamba upinzani ni LAZIMA utoke CHADEMA.
 
Huo ni mtizamo wako tu, lakini CCM huyu waliyempa kijiti akimbize wamegundua kwamba amekivunja na kukitupa.
 
IPO WAZI KABISA, HAYA YOTE NI MOVIES ZA KUELEKEA UCHAGUZI. NYOTA WA MOVIE NI CCM
 
Back
Top Bottom