sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,419
Wote tunajua kwamba hakuna kitu mtu hawezi kufanya in the name of love.., iwe kuiba, kusema uongo, kufuja pesa, kutapeli
n.k.
Hivyo basi badala ya kumwona anayetenda (kufuja mali, kuingia majaribuni, kulala njaa n.k.) ni mzembe / mpuuzi / wakuja / hana akili.., Inabidi kumuona yule anayependwa ndio anakosea kwa kutokumkataza yule anayetenda hivi vitu, (kuliko kumwambia nataka hiki ni busara kumwambia usifanye hiki, kitakufikisha pabaya)
Mfano kama unaona mwenza wako kipato hakitoshi kataa hizo zawadi na kila siku kujirusha.., badala yake mshauri mjenge au ku-invest for future.
Ukisema ahaa mimi siwezi kutapeliwa au kuwa buzi (labda hayajakukuta, ni vigumu kufahamu utafanya nini kwenye situation fulani bila kuwa kwenye hio situation). Na wewe uliyendwa usitumie mapenzi unayopewa kumkomoa anayekupenda
Kumbuka hakuna jambo mtu ambalo hawezi / hatafanya kwa anayempenda
Hivyo basi kama unajua someone will die for you, jaribu kuepuka kutokujiweka / au ku-demand mambo ambayo yatapelekea anayekupenda kuishia pabaya
Hivyo basi badala ya kumwona anayetenda (kufuja mali, kuingia majaribuni, kulala njaa n.k.) ni mzembe / mpuuzi / wakuja / hana akili.., Inabidi kumuona yule anayependwa ndio anakosea kwa kutokumkataza yule anayetenda hivi vitu, (kuliko kumwambia nataka hiki ni busara kumwambia usifanye hiki, kitakufikisha pabaya)
Mfano kama unaona mwenza wako kipato hakitoshi kataa hizo zawadi na kila siku kujirusha.., badala yake mshauri mjenge au ku-invest for future.
Ukisema ahaa mimi siwezi kutapeliwa au kuwa buzi (labda hayajakukuta, ni vigumu kufahamu utafanya nini kwenye situation fulani bila kuwa kwenye hio situation). Na wewe uliyendwa usitumie mapenzi unayopewa kumkomoa anayekupenda
Kumbuka hakuna jambo mtu ambalo hawezi / hatafanya kwa anayempenda
Hivyo basi kama unajua someone will die for you, jaribu kuepuka kutokujiweka / au ku-demand mambo ambayo yatapelekea anayekupenda kuishia pabaya