FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,796
- 46,913
."HAKUNA tofauti ya muokota makopo Milembe na flat earther
Flat earthers"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walikuwa watu(fact)suala la kuwajua ni jingine kabisa.What if i say your Quran is hoax too and it is a deduction of Jews teachings.Nyie mwache "uduanzi" ulitakiwa tangu mapema uonyeshe tunaongelea "imaan"...UNAYUMBA SANA MTAALAMU.
Walikuwa watu(fact)suala la kuwajua ni jingine kabisa.What if i say your Quran is hoax too and it is a deduction of Jews teachings.Nyie mwache "uduanzi" ulitakiwa tangu mapema uonyeshe tunaongelea "imaan"...UNAYUMBA SANA MTAALAMU.
Eh!!Nimesoma vitabu vya imani, nilikuwa naonyesha mfano kuwa Manabii na Mitume walienda mbinguni,obvious through space na ni watu,kwanini wana science wasiweze kwenda..mimi nakubaliana operations za space zilifanyika na zinafanyika
Eh!!Nimesoma vitabu vya imani, nilikuwa naonyesha mfano kuwa Manabii na Mitume walienda mbinguni,obvious through space na ni watu,kwanini wana science wasiweze kwenda..mimi nakubaliana operations za space zilifanyika na zinafanyika
Tatizo sio kuwa hatupo makini,bali tatizo ni kuwa hukwenda direct kwenye point.Inaonekana hamsomi vizuri ninacho kiandika, kinachofanya Camera nimeshakisema, rudia nilichokiandika huko awali.
Ongezeni umakini.
Hyo aya nambs 5 ni sawa lakini kuifanya ushshidi wa kuwa dunia duara la mpira bado haijawa wazi.Maana hii mada imeenda sana na tumeleana sana, nataka kumaliza hili kwa mtindo huu.
Anasema Allah aloye juu :
5. Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe! (Azzumar : 5 )
Hili andiko ukilisoma vizuri linaonyesha ya kuwa dunia duara, ukisoma matini ya tamko hilo utaona neno "yuqawirru" maana yake "wrap around" na kinacho bi "wrapped" ni Dunia.
Akasema tena Allah aliye juu :
19. Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake. (al Hijri : 19 )
Hapa aya inasema ardhi imefanywa kama tandiko, yaani baada ya kuumbwa dunia ikatandikwa ardhi juu yake. Hapa ndio tunauzungumzia huo utambarare wa Dunia duara.
Akasema tena Allah aliye juu :
19. Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
20. Ili mtembee humo katika njia zilizo pana. (Nuhu : 19 - 20)
Ardhi imefanywa kama busati, ili tutembee katika njia pana.
Akasema tena Allah mtukufu aliye takasika :
6. Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
7. Na milima kama vigingi?
8. Na tukakuumbeni kwa jozi?
9. Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko? (an Nabaa : 6 - 9 )
Kwahiyo kwa jumla ya aya hizo tunaona ya kuwa Dunia kwa umbile lake ni duara ila ni tambarare kwa juu.
Na huo ndio msimamo wangu, na hitimisho langu sio kama mnavyohitimisha nyinyi.
Ukiangalia utaona anajipinga yeye mwenyewe kwani anasema dunia ni duara na ardhi imetandikwa juu yake kama busati lililo tambarale, sasa swali ni hili; utatandikaje kitambaa juu ya mpira na kitambaa hicho kiwe tambarale kisifuate umbo la duara la huo mpira??. Inaonyesha neno tambarale ndilo linalomchanganya na mbaya zaidi alikimbia hesabu alipokuwa shule hivyo hawezi jua nini maana ya "tambarale" ya ardhi juu ya uso wa dunia.
Mkuu, Jamii forums ni jukwaa pana sana, hivyo kupoteana ni jambo la kawaida. Ila tupo pamoja mkuu.[emoji1787]
Kwa hyo mkuu mwezi uko wapi hapa hapa mawinguni ndani ya dunia na dome?
Mwezi upo juu ya uso wa dunia na ndani ya firmament ama dome.Kwa hyo mkuu mwezi uko wapi hapa hapa mawinguni ndani ya dunia na dome?
Sent using Jamii Forums mobile app
PoaUnasema hukufeli hesabu za kisekyula, kwani hesabu za kisekyula zikoje na zile zisizokuwa za kisekyula ni zipi??
Wewe hujui hata Qur'an nayo unayoipotosha imo ndani ya makaratasi ??--- sasa kwa huo uerevu wako (sio ujinga wako) tusiifuate Kwakuwa imeandikwa kwenye makaratsai??