Na huo ndio msimamo wangu, na hitimisho langu sio kama mnavyohitimisha nyinyi.
Na huo ndio msimamo wangu, na hitimisho langu sio kama mnavyohitimisha nyinyi.
Tuko pamoja.Huko kote sikutaka nifike kwanza ,nilitaka kwanza ieleweke kwanza kuwa hakuna kitu kama dunia mpira na tuje hapa tulipofika,but anyway ukweli ndo jinsi ulivyo na huu ndo ukweli halisi.
Big up
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi yangu nimemaliza na mjadala umeisha kwa mtindo huo.Umeishiwa aisee, hizo picha ndo zinajenga hiyo dhana mnayoitetea nyie. Kama umeshindwa kuielewa dhana yenu mnayoitetea kwa shahidi hizo basi hakuna mnachokijua kuhusu round earth, am jus'wastn ma'time.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu yako bado ni utata mtupu! Sababu ulisha sema hakuna aliyewahi kufika kwenye Mwezi kutokana na kizuizi cha Dome ngumu ya kioo iliyopo juu angani.Hizo picha na videos ni Hoax za NASA tu. utata unakuja hapo kwenye kielelezo unacho weka cha flat earth kinacho onesha Dunia Jua na Mwezi vikiwa ndani ya Dome moja! Je bado hujaona kwenye Mwezi panafikika?!
Ndio ,utata upo wapi?Majibu yako bado ni utata mtupu! Sababu ulisha sema hakuna aliyewahi kufika kwenye Mwezi kutokana na kizuizi cha Dome ngumu ya kioo iliyopo juu
China na India Juzi kati zile mission walizo dai walifanya kwenda kwenye Mwezi ilikuwa hoax?!Ndio ,utata upo wapi?
Mwezi na jua na nyota vipo ndani sio nje na mwezi ni luminating circle unaweza ukaona hata nyota muda mwingine nyuma yake kama una camera nzuri,mwezini hajawahi enda mtu na haitaka itokee ,wanashindwaje kwenda sasahivi ilhali wanateknologia zaidi ya miaka ya 60View attachment 1342660
Sent using Jamii Forums mobile app
China na India Juzi kati zile mission walizo dai walifanya kwenda kwenye Mwezi ilikuwa hoax?!
Wewe pia ni Mshirika wa huo Ushetani unawezaje kuwaponda Nasa ukisema kwenye Mwezi hapafikiki na bado unatuletea picha za huko kwenye Mwezi kutuaminisha unachokitetea ni sahihi,utadhani ulisha wahi fika huko!
W
Wewe pia ni Mshirika wa huo Ushetani unawezaje kuwaponda Nasa ukisema kwenye Mwezi hapafikiki na bado unatuletea picha za huko kwenye Mwezi kutuaminisha unachokitetea ni sahihi,utadhani ulisha wahi fika huko!
.W
Wewe pia ni Mshirika wa huo Ushetani unawezaje kuwaponda Nasa ukisema kwenye Mwezi hapafikiki na bado unatuletea picha za huko kwenye Mwezi kutuaminisha unachokitetea ni sahihi,utadhani ulisha wahi fika huko!
Ndio ulitakiwa uanzie hapa, na hakuna uliemlea, tangu mwanzo mimi ni mmojawapo wa waliosema,reality alitakiwa awe wazi kuwa anaongelea Quran😃.Na Quran hatusemi haiko sawa katika hili la dunia ni duara na sisi tuko katika hilo busati.Hapa wajinga ni nyinyi tu😃😃.Flat Earthers ni wanasayansi wavivu narudia tena😂😂.Dunia inaweza kuwa ya mviringo kisha busati likawa wrapped kufata huo mviringo. Mtu unakataa watu hawaendi mwezini hapo tu.Wakati mtume alienda mbingu kibao tu ndani ya usiku mmoja(Proof kuwa watu wanaenda space hiyo!!)Maana hii mada imeenda sana na tumeleana sana, nataka kumaliza hili kwa mtindo huu.
Anasema Allah aloye juu :
5. Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe! (Azzumar : 5 )
Hili andiko ukilisoma vizuri linaonyesha ya kuwa dunia duara, ukisoma matini ya tamko hilo utaona neno "yuqawirru" maana yake "wrap around" na kinacho bi "wrapped" ni Dunia.
Akasema tena Allah aliye juu :
19. Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake. (al Hijri : 19 )
Hapa aya inasema ardhi imefanywa kama tandiko, yaani baada ya kuumbwa dunia ikatandikwa ardhi juu yake. Hapa ndio tunauzungumzia huo utambarare wa Dunia duara.
Akasema tena Allah aliye juu :
19. Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
20. Ili mtembee humo katika njia zilizo pana. (Nuhu : 19 - 20)
Ardhi imefanywa kama busati, ili tutembee katika njia pana.
Akasema tena Allah mtukufu aliye takasika :
6. Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
7. Na milima kama vigingi?
8. Na tukakuumbeni kwa jozi?
9. Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko? (an Nabaa : 6 - 9 )
Kwahiyo kwa jumla ya aya hizo tunaona ya kuwa Dunia kwa umbile lake ni duara ila ni tambarare kwa juu.
Gravity wanaielezea hivi
Kwakuwa upo Kwenye flat disc inaaccelerate upwards with an acceleration of 9.8m/s2. Hii inatengeneza illusion ya kuwa unavutwa chini Kumbe earth ndo inaenda juu. mazojms, Although kusema ukweli HAKUNA tofauti ya muokota makopo Milembe na flat earther
Flat earthers wengi hata hawaamini flat earth lakini ni clout chasers tu
Bila shaka una ufahamu mdogo sana juu ya elimu ya Qur'aan na Tafsiri yake.Mtu unakataa watu hawaendi mwezini hapo tu.Wakati mtume alienda mbingu kibao tu ndani ya usiku mmoja(Proof kuwa watu wanaenda space hiyo!!)
.Ndio ulitakiwa uanzie hapa, na hakuna uliemlea, tangu mwanzo mimi ni mmojawapo wa waliosema,reality alitakiwa awe wazi kuwa anaongelea Quran.Na Quran hatusemi haiko sawa katika hili la dunia ni duara na sisi tuko katika hilo busati.Hapa wajinga ni nyinyi tu
.Flat Earthers ni wanasayansi wavivu narudia tena
.Dunia inaweza kuwa ya mviringo kisha busati likawa wrapped kufata huo mviringo. Mtu unakataa watu hawaendi mwezini hapo tu.Wakati mtume alienda mbingu kibao tu ndani ya usiku mmoja(Proof kuwa watu wanaenda space hiyo!!)