Tena mtume alipandia pale pale Jerusalem.Ni rahisi kuita spherical world hoax, lakini religion unayoamini not a hoax, Judaism,Muslim and Christians ni dini za ajabu sana


.Jesus defy gravitation(spherical)au alikuwa na low density,Mtume Mohammad(SAW) na yeye akaenda mpaka kwa Mungu kwa kutumia kiumbe tu.Na mmejifanya watu wa proofs,leteni proof zao wakifanya hayo...mnaanza kufungua machapters.Jamani tuanze kufikiria zaidi ya hapo,hasa wenzangu weusi typical.Hawa Waarabu,Wazungu na other races tuwaache na ukombozi wao waliopata,tusubiri wa kwetu.Mi naenda katika dini kufata protocal za life tu na kuwa na "sense of belong".Mambo ya Dajal,sijui mpinga kristo hainihusu kabisa.



.Sasa mnaohusika msitulazimishe bwana,mara mchinje watoto Christmas,mara Afrika ya kati wakristo wamebanika na kula nyama za waislamu

