Swali la lengo la maisha, halijibiwi nje ya imani za kidini, na hapa ndio kuna majibu sahihi.Sawa mkuu. What is a purpose of life,regardless of earth being flat or spherical?
What is reality, is reality actual or a relative concept?
Hili swali rahisi sana, lakini najiuliza kwanini hujajibu inavyotakiwa na kwa usahihi.Purpose of life is experiencing a gift of we immortals ,to experience this gift we have to be mortals meaning we should have a body and soul.
A good example is we can mate but angels can't so we experience things that other immortals cant experience.
We are supposed to live in humanity order perfectly matching our intelligence substance within us thus creating a pure man kind structure ,free of thoughts,conductivity and organization,love and survival.
The artificial world today is irrelevant to all the above.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unakubali ya kuwa Camera haiko au haijstengezwa kwa kukupa hitimishl la utimilifu bali msaada kufikia ukamilifu/utimilifu. Kama hali iko hivyo kwanini unatumia kitu kisocho kamili kuhitimisha juu ya utimilifu ?
Hili swali rahisi sana, lakini najiuliza kwanini hujajibu inavyotakiwa na kwa usahihi.
Lengo la maisha au sisi kuishi ni ili tumuabudu Mola muumba wa mbingua ardhi na vyote vilivyomo. Kinyume na jibu hili ni uongo na wasi wasi wa shetani.
Fafanua kwanza haya:Jibu rahisi hapo ni utofauti wa ukomo tu kati ya viwili hivyo.
Unauliza swali ambalo jibu unalo, tunatakiwa tuwe tunafikiri kwanza kabla ya kuhoji. Camera ina uwezo wa kukileta kitu cha mbali kuwa karibu yako,na kinacho ona ni macho na si Camera, ila maho kulingana na uwezo wake utaona hivyo ila kadiri ukiwa unaisogelea meli utaona inaonekana tu mpaka itakapo tokomea machoni mwako.
Pili, tunakuja kujadili uwezo wa Camera, kiuhalisia Camera nayo ina ukomo wake kama yalivyo macho. Kwahiyo Camera haiwezi kuwa marejeo ya ukamilifu sababu nayo imetengenezwa kwa kuzingatia kanuni fulani katila mipaka fulani. Kwahiyo kutokuweza kwa Camera kufikia ukomo halisi sio marejeo kupata hitimisho. Camera inakuletea kile ambacho kimesanifiwa na msanifu na si zaidi ya hapo.
Safi,basi kama hali inatatulika ndani ya ukomo flani kimisingi basi tunaishia hapo.Ukomo wa kufikia utimilifu hatuwezi kufikia, yaani wezo huo hatuna.
See how simple for a FLAT EARTH.![emoji116][emoji116][emoji116]Fafanua kwanza haya:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.
Refer the evidence below so that you can come up with new vision[emoji116][emoji116][emoji116] View attachment 1342105View attachment 1342106View attachment 1342107View attachment 1342108View attachment 1342109View attachment 1342110View attachment 1342111View attachment 1342112
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio, tumekutana hapa tu kwenye mgongano wa mawazo. Ni mwanamjadala mwenzangu tu.
See how simple for a FLAT EARTH.![emoji116][emoji116][emoji116]Jibu rahisi hapo ni utofauti wa ukomo tu kati ya viwili hivyo.
Unauliza swali ambalo jibu unalo, tunatakiwa tuwe tunafikiri kwanza kabla ya kuhoji. Camera ina uwezo wa kukileta kitu cha mbali kuwa karibu yako,na kinacho ona ni macho na si Camera, ila maho kulingana na uwezo wake utaona hivyo ila kadiri ukiwa unaisogelea meli utaona inaonekana tu mpaka itakapo tokomea machoni mwako.
Pili, tunakuja kujadili uwezo wa Camera, kiuhalisia Camera nayo ina ukomo wake kama yalivyo macho. Kwahiyo Camera haiwezi kuwa marejeo ya ukamilifu sababu nayo imetengenezwa kwa kuzingatia kanuni fulani katila mipaka fulani. Kwahiyo kutokuweza kwa Camera kufikia ukomo halisi sio marejeo kupata hitimisho. Camera inakuletea kile ambacho kimesanifiwa na msanifu na si zaidi ya hapo.
Ili uone kuna tofauti naomba ujibu swali hili.
Ili kitu kiitwe kinaona au kimeona kinatakiwa kikidhi vigezo gani ? Ifikie hatua tuache mbwembwe za maelezo yaliyojengeka katika dhana, mfano mzuri leo hii ukimuuliza Mwanasayansi nini maana ya mbingu au mbingu ni nini,majibu yake yataanza "Ooo unajua katika sky sijui kuna charge fulani mara ile color ya mbingu imetokana na nini" maneno yanakuwa mengi.
Mfao kuna maelezo uliyatoa kuhus mchakato wa miyale/miale hakika hayalengi shabaha ya uhalisia.
Kwahiyo mimi nipo kati na kati na ninatofautiana na nyinyi kwa ile namna mnayotumia kuyaelezea haya mambo na kufikia hitimisho.
Ukomo wa kufikia utimilifu hatuwezi kufikia, yaani wezo huo hatuna.
Yah hatuwezi kuenda mbele zaidi ambako hatujui.Safi,basi kama hali inatatulika ndani ya ukomo flani kimisingi basi tunaishia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako yote ni ya uongo sababu hayaongelei kile ninachokizungumzia mimi.Fafanua kwanza haya:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.
Refer the evidence below so that you can come up with new vision[emoji116][emoji116][emoji116] View attachment 1342105View attachment 1342106View attachment 1342107View attachment 1342108View attachment 1342109View attachment 1342110View attachment 1342111View attachment 1342112
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule ukamilifu unakuwa hujaufikia.Safi,basi kama hali inatatulika ndani ya ukomo flani kimisingi basi tunaishia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka nukta hii hakuna mwenzangu, na huyu nimeshampa haki yake, mimi nipo kati kati na tofauti yangu na nyinyi ni ile namna ya kufikia hitimisho ya jambo fulani, hili ni tatizo linaoikumba Sayansi kwa ujumla wake, kama umeichunguza kwa umakini Sayansi utaona Sayansi inakumbwa na tatizo hili sugu.
Kuna vitu vina hali moja kwa kila hali, mathalani, ukiambiwa Jua liko juu yako au? Hapa unaweza kulijibu kwa kuzingatia mlengo gani ?Umeuliza swali zuri ambalo ilitakiwa uulizwe wewe.
Mfano mimi nikitumia camera kuangalia gari nitasema naiona gari kupitia camera yani macho yangu yanaangalia camera na camera inaangalia gari.
Labda kuhusu kitu ili kiwe kinaona kikidhi vigezo gani je hivyo vigezo vijengeke kwenye msingi wa marejeo yapi ?
Kiada tu za watu vile wanavyotumia maneno?
Kisayansi?
Ama kidini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ungekuwa umesoma nilichokiandika huko nyuma swali hili usingeuliza.Ukamilifu unaokusudia ni upi
Kwani kati ya microscope na macho yetu ya kawaida ni kipi kinauwezo wa kukupa picha ya bacteria mbali mbali wa magonjwa ya damu ?
Sent using Jamii Forums mobile app